Ila Kuna raia ni wabishi, mwanzoni wakati migambo wanakusanya vitu vya wamachinga Kuna jamaa mmoja alikuwa anarekodi Sasa Kuna askari akamuona wakataka wamkamate wakaja kama wagambo watano kumbeba wamuingize kwenye gari asee yule mshkaji alidinda hakuingia ndani halafu hakuna raia aliyekuwa...
Raia wamekinukisha Makumbusho stendi baada ya wanamgambo kubeba Mali za Machinga.
Wana mgambo pamoja na Police wamekimbia baada ya kurushiwa mawe na Raia
Madalali mko wapi aisee! kuna raia anataka chumba Cha kuishi maeneo hayo niliyoyataja, na bajeti yake ni 70k, 80k, hadi 100k
Mwenye nacho anicheki nimconnect na jamaa
Wajuzi wa mambo naomba mnisaidie, miezi kama sita nyuma nilipoteza kazi yangu katika mazingira ya kutatanisha, Yani kosa nililofunguzwa nalo kazi kila mtu nikimuelezea anaona haimake sense.
(Usitake kujua ni kosa gani nikieleza sana tunaweza kujuana humu)
So baadhi ya watu walianza kuhisi kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.