Ila Kuna raia ni wabishi, mwanzoni wakati migambo wanakusanya vitu vya wamachinga Kuna jamaa mmoja alikuwa anarekodi Sasa Kuna askari akamuona wakataka wamkamate wakaja kama wagambo watano kumbeba wamuingize kwenye gari asee yule mshkaji alidinda hakuingia ndani halafu hakuna raia aliyekuwa anamsaidia wote waliishia kunong'ona tu ila mwisho wa siku wakamshindwa wakamuachia
Walivyomaliza hapo si wakahamia kwa Machinga wengine, raia wakaona haiwezekani wakakinukisha, Nilichofeli ni kuchukua video lile tukio ila niliona Kuna raia wamerekodi