Mimi Naona Ulikuwa ni mtazamo wa Paulo nao akawiwaa alishirikishe kanisaa la korinthoo na atakuwa alikuwa na sababu zake ambazo pia ni njema TU kwahiyo halijasimama kama Sheria
Tunachojua MUNGU alishasema kwenye kitabu Cha mwanzo2:18 si vema mtu huyu akawa peke yake ndipo akamuumba mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.