Ni jambo jema sana japo ingekuwa vyema zaidi mikataba ya ujenzi huo ikawekwa wazi na lingekuwa jambo zuri zaidi kama nchi ingekuwa na sera
Nchi hii huendeshwa na mtawala atakavyo yeye sio sera ya nchi hivyo kama Mwandishi msomi ni vyema uandike kitu ambacho baadae hutojutia kuandika...
Hongera sana chama hiki kwa kuonyesha ukomavu wa kisiasa sasa yule Mbunge Msukuma alosema halima wakifukuzwa atajua na kujifunza democracy iliyopo Chadema sasa nadhani ameiona na amejua kwa kutambua ushauri wangu kwake yeye kama kijana ajifunze kuwa chama chochote chenye watu wanaosimamia haki...
Mungu anaweza kukupa kilema ila akupe furaha Ahimidiwe mungu wa madhabahu yenye mamlaka ya juu zaidi
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Aliyetoa hii mada ametumwa but anachoongea kabudi ni kuitetea serekali kisaikolojia na ukizingatia yeye ndio mwanasheria mkuu wa serekali kama angekuwa mwanasheria kweli anaefata taaluma yake angekuwa mtu mzuri ila pale kwa lissu atasubiri sana pia kibatala ni mwanasheria nguli sana yani tuseme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.