Ivi ni nn faida ya huyo mtu anaye sema mambo kama yanamuuma vile,,, kama vip aje ndani ili harakati zake na mazur anayojua anayo tuyaone.
Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Na mwandishi wa ujumbe huo aseme wazi kwa nn watawala wanamwandama manji? Ameandika kwamba hisa zake za tigo na pia watawala wanajua kwa nn wanamwandama ebu tueleze izo sabab maana utakuwa unajua..
Wanasiasa watu wa hovyo kweli kweli.
Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Watanzania mna shida sana mpaka mkosolewe na majirani ndo mtajua mnakosea,, kwa maslah ya taifa hili bora magu afanye lolote lililo jema maana naona mlivaondika as if siyo watz,, na hayo ni maneno ya uchochezi kweli.
Eti misaada nyambafu!!!!!!.
Bora tufe njaaa na siyo kupelekwa pelekwa...
Wajinga nao hao Un wameshindwa mangap na leo wanataka kutugombanisha tena, ndo wao wamesababisha migogoro Libya mpaka leo na bado wanakir walifanya makosa kushambulia nchi hizo
Na leo kwa upuuz wa baadhi ya watz wenye maslah binafsi mnataka kuleta choko choko.
Rais wangu dr jpm nakuombea sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.