Unatufuta hela ile unazipata,unapata stroke au unakufa.Ishi NOW ndio experience nzuri,mimi nlishasema niwe na hela nisiwe na hela mbususu lazima nile,na haipingwi.Sasa wewe endelea kuiweka akili yako sehemu moja kama mnara eti tafuta hela....mbususu utazikuta kakwambia nani aisee...😇
Nanukuu""....Huwa tunaongea mara kadhaa kama mjuavyo kwa kijana mwenye akili timamu linapofika jambo lenye umuhimu wake huwa anapenda......kifupi hii ni chai maana hakuna mwanaume mwenye akili timamu Anaoa,so either unamsifia tu bure huyo mdogo wako au umetunga hii stori.
Hiyo tabia alikuwa nayo mdogo wangu yani uji unamlisha anaweka mdomoni dakika kumi na anaweza kumeza ukimfurahisha au ukimtishia sana,Dada wa kazi alikuwa anambana pua ili ameze ila maza alivyomstukia alimgombeza kinoma,unakuta uji wa kunywa Dakika 10,yanatumika masaa hadi matano kumaliza,ila...
Mwanga hapa ni huyo fuko anaishi hapo nyumbani,na msipoangalia anaweza hata waloga kabisa,yani wanasema tajiri wanaroho mbaya ila sio kama maskini,hasa wa fikra.
Yani nilivyoona bandiko moja humu Jf kuhusu stendi ya BK ndio nikasema wahaya bure kabisa,ila sasa ukiwakuta mikoa ya wenzao wanavyoinua makwapa utashangaa.Muhaya sahizi akijisifu mbele yangu nampa za uso
Halafu kuna ile kauli hasa mademu mnayo utaskia "mtoto wangu hawezi ishi Kama nlivyoishi" nitapambana...SAWA Ila sasa anayesema hivyo anauza uji mtaji 5k.
Hatukatai mkuu wewe ni mkongwe na maarufu wa kutunza screenshot za oldest websites,sasa nikuulize hiyo kazi yoote imekusaidia nn mpaka sasa hivi?Maana unavyojisifu utadhani imesaidia kukupa uwaziri wa teknolojia.
Wasanii wetu ni Kama makondoo hapo naona mkono wa tivu ake,basi tu kwenda kujichukulia per diem ila hakuna lingine.Halafu Ay kama unasoma huu uzi punguza kitambi unaonekana mdingi wa makamo na kwa wasanii wa bongo fleva haipendezi.
Watumie meseji wote kwa pamoja waambie umefukuzwa hiyo kazi yako ya ualimu,hivyo inabidi wakuvumilie wakati unasikilizia,kisha subiria wiki uone kama utaona hata unyoya.
😁mkuu wewe ni mtaalamu wa vilio?mbona kuna wanao lia kama wanacheka!?Wewe sema umeona jau manzi kulizwa wakati wako analala kama gogo,tusisahau pia show za kibabe huwa wanapiga yowe tu mbona.
Hapo muachie tu Mungu bwashee,ningekushauri uende saiba kraimu ila hawa wetu ni vibuyu,mwenyewe nliibiwa simu nkaenda ulizia nkaambiwa infinix nayo ni cm ya Ku trace nkabaki nina ulaumu umaskini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.