Recent content by border mc

  1. border mc

    Kuhusu biashara ya mafuta ya kupikia

    Mimi ni kijana mdogo bado, ila nataka nijiajiri mwenyewe kwa manufaa yangu ya badae Niko hapa kuuliza ili nijue kiundani zaidi kuhusiana na biashara ya mafuta ya kupikia Je soko lake lipoje? Ni aina gani pendwa zaidi walaji huipenda? Na je bei zake zinaweza nipatia faida kiasi? Na ni maeneo...
  2. border mc

    Robo ya mwaka imeisha tayari, umetimiza mikakati gani?

    Namshukuru Mungu malengo kama manne hivi niko nayo sawa 🙏📌
  3. border mc

    Naombeni kujua jinsi ya kufanya matangazo na mauzo mtandaoni

    Ni kwa namna gani naweza lipia tangazo
  4. border mc

    Naombeni kujua jinsi ya kufanya matangazo na mauzo mtandaoni

    Shukran [emoji120] sana kuna kitu nimepata hapa 🫡
  5. border mc

    Naombeni kujua jinsi ya kufanya matangazo na mauzo mtandaoni

    Hapana sikufanikiwa Eneo langu la biashara niko mbezi, na nafanya biashara ya mikoba na keki Kwenye mikoba bado sijapata soko Budjet ya chini naweza kulipia ni 5k Na mtandao ninaotumia zaidi ni twitter
  6. border mc

    Natafuta soko la kuuza mikoba au mfadhili wa bidhaa zangu

    Nashkuru sana Amin [emoji120]
  7. border mc

    Natafuta soko la kuuza mikoba au mfadhili wa bidhaa zangu

    Kama yale maudhui yangu yanavyosema hii ni ngumu, inaubora na iko simple tu ila unaweza weka vitu vyako vingi na kubeba bila shida yoyote
  8. border mc

    Natafuta soko la kuuza mikoba au mfadhili wa bidhaa zangu

    Hapana bro hivi vitu vinajenga sana kuliko kusifiwa sifiwa tu, hutojua wapi unakosea
  9. border mc

    Natafuta soko la kuuza mikoba au mfadhili wa bidhaa zangu

    Hii inamaana soko lipo mahali wanapoingia watalii Asante umenifungua sana [emoji120][emoji120]
  10. border mc

    Natafuta soko la kuuza mikoba au mfadhili wa bidhaa zangu

    Ni sawa ila kwa sasa mtaji wangu bado ni mdogo kufikia kiwango cha begi hizo ils nitafight mpaka siku nije kutengeneza kama hizo asante kwa wazo
  11. border mc

    Natafuta soko la kuuza mikoba au mfadhili wa bidhaa zangu

    Niko naendelea kuboresha michoro yangu siku hadi siku
Back
Top Bottom