Mimi ni kijana mdogo bado, ila nataka nijiajiri mwenyewe kwa manufaa yangu ya badae
Niko hapa kuuliza ili nijue kiundani zaidi kuhusiana na biashara ya mafuta ya kupikia
Je soko lake lipoje?
Ni aina gani pendwa zaidi walaji huipenda? Na je bei zake zinaweza nipatia faida kiasi?
Na ni maeneo...
Hapana sikufanikiwa
Eneo langu la biashara niko mbezi, na nafanya biashara ya mikoba na keki
Kwenye mikoba bado sijapata soko
Budjet ya chini naweza kulipia ni 5k
Na mtandao ninaotumia zaidi ni twitter
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.