Katika hali isiyotarajiwa mkuu wa wilaya ya Kigoma Mjini ndugu Maneno Ramadhani jana alifukuza wanafunzi wote wa shule ya sekondari ya wanaume ya Kigoma baada ya wanafunzi hao kufanya mgomo wa kuukataa uongozi wa shule hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.