Hizo picha kapiga Ben Saanane halaf kazivujisha
Last edited by a moderator:
Hizo picha kapiga Ben Saanane halaf kazivujisha
Haya ni maneno ya Slaa;
"Tunawasubiri tuone hatima yao ni nini, sisi tunajua Jeshi la Polisi limeshajitoa kulinda viongozi wa CHADEMA sasa kwanini tusijilinde wenyewe," alisema Dk. Slaa.
Source: Chadema Blog: Slaa aparura Polisi
Namuuliza Dr.W.Slaa, kwanini aliwadanganya Watanzania kwa maneno hayo? Ilhali Slaa mwenyewe yuko bega kwa bega akipewa ulinzi na Polisi, hivi:
Kama Slaa huo si unafik na ufataani ni nini?
Moderator tafadhali uwache huu uzi, una mafundisho makubwa sana, Bi Kidude anasema, usitukane wakunga na uzazi ungalipo.
Chadema mtaokuja hapa na kuiponda Polisi tutawaona wote kuwa ni wanafik, viongozi wenu na nyinyi wenyewe mnategemea ulinzi wa Jeshi la Polisi saa 24, siku 365 mchana na usiku.
Huyu Mzee sio mpenzi wa ukweli, Kauli zake nyingi zimejaa uchochezi, fitna, majungu na ulaghai.
Kule Arusha alisema nchi haitatawalika tena, vijana wa CHADEMA wakampiga mawe juzi, akakimbilia Polisi.
Akili za babu na za LEMA kama zimefanana vile!
Hata kama tunatumia majina bandia sio hili la MSALANI yaani mawazo yako yatakuwa kama CHOO
Hivi hapa jamvini huwa huna mada nyingine zaidi ya CDM elezea hata mafanikio ya miaka 52 ya utawala dhalimu wa CCM?
ni lazima wasemwe , na matokeo ya kuwasema ndo hayo, sasa wanaanza kutambua wajibu wa kumlinda Rais mtarajiwaHaya ni maneno ya Slaa;
Tunawasubiri tuone hatima yao ni nini, sisi tunajua Jeshi la Polisi limeshajitoa kulinda viongozi wa CHADEMA sasa kwanini tusijilinde wenyewe, alisema Dk. Slaa.
Source: Chadema Blog: Slaa aparura Polisi
Namuuliza Dr.W.Slaa, kwanini aliwadanganya Watanzania kwa maneno hayo? Ilhali Slaa mwenyewe yuko bega kwa bega akipewa ulinzi na Polisi, hivi:
Kama Slaa huo si unafik na ufataani ni nini?
Moderator tafadhali uwache huu uzi, una mafundisho makubwa sana, Bi Kidude anasema, usitukane wakunga na uzazi ungalipo.
Chadema mtaokuja hapa na kuiponda Polisi tutawaona wote kuwa ni wanafik, viongozi wenu na nyinyi wenyewe mnategemea ulinzi wa Jeshi la Polisi saa 24, siku 365 mchana na usiku.
Sijaamini hicho ulichoandika. Inshort sikuamini mtoa mada!
Duh, hivi mbona dkt slaa yupo hivi, bi kidude aliimba usitukane wakunga na uzazi ungalipo. Hawa polici si ndio walimuokoa juzi baada ya kupijwa?
Ukiniamini usiniamini haijalishi kitu, sikuandika mimi hayo tazama source uone yametoka wapi hayo. Mimi nimeyaleta tu humu, kwa kukujuza tu kama hujui kutumia link, yametoka blog ya chadema. Jee, na chadema huwaamini?
Mgamba hamtaielewa philosophy ya dk.Slaa.Angesema wanalindwa, polisi wasingehangaika kama wanavyofanya sasa.Kwahiyo ukitaka kumuelewa DR.lazima ujifunze Philosophy kwani hata yesu alikuwa haeleweki kwa wajinga kama magamba, lakini welevu walikuwa wanamuelewa
Haya ni maneno ya Slaa;
Tunawasubiri tuone hatima yao ni nini, sisi tunajua Jeshi la Polisi limeshajitoa kulinda viongozi wa CHADEMA sasa kwanini tusijilinde wenyewe, alisema Dk. Slaa.
Source: Chadema Blog: Slaa aparura Polisi
Namuuliza Dr.W.Slaa, kwanini aliwadanganya Watanzania kwa maneno hayo? Ilhali Slaa mwenyewe yuko bega kwa bega akipewa ulinzi na Polisi, hivi:
Kama Slaa huo si unafik na ufataani ni nini?
Moderator tafadhali uwache huu uzi, una mafundisho makubwa sana, Bi Kidude anasema, usitukane wakunga na uzazi ungalipo.
Chadema mtaokuja hapa na kuiponda Polisi tutawaona wote kuwa ni wanafik, viongozi wenu na nyinyi wenyewe mnategemea ulinzi wa Jeshi la Polisi saa 24, siku 365 mchana na usiku.
Kama mkongwe katika CCM na mpenda amani, ukweli na umoja wa kitaifa nataka kusema thread kama hizi hazisaidii chochote zaidi ya kuleta uhasama. Kwanini, tuache ushabiki na kuwaandama viongozi wa vyama iwe ni wa chama tawala ama wapinzani. Haiji kichwani mtu kuleta habari ya zamani ambayo inawezekana mazingira ya wakati huo yalimtuma kiongozi kusema kauli kama hii na kujifanya mtu anataka kuonyesha eti uongo wa kiongozi. Tafadhali, hamtokisaidia chama wala nchi kwa siasa ambazo sijui mnazitoa wapi.Haya ni maneno ya Slaa;
Tunawasubiri tuone hatima yao ni nini, sisi tunajua Jeshi la Polisi limeshajitoa kulinda viongozi wa CHADEMA sasa kwanini tusijilinde wenyewe, alisema Dk. Slaa.
Source: Chadema Blog: Slaa aparura Polisi
Namuuliza Dr.W.Slaa, kwanini aliwadanganya Watanzania kwa maneno hayo? Ilhali Slaa mwenyewe yuko bega kwa bega akipewa ulinzi na Polisi, hivi:
Kama Slaa huo si unafik na ufataani ni nini?
Moderator tafadhali uwache huu uzi, una mafundisho makubwa sana, Bi Kidude anasema, usitukane wakunga na uzazi ungalipo.
Chadema mtaokuja hapa na kuiponda Polisi tutawaona wote kuwa ni wanafik, viongozi wenu na nyinyi wenyewe mnategemea ulinzi wa Jeshi la Polisi saa 24, siku 365 mchana na usiku.
..
...Hao polisi wanalipwa na nani?