Recent content by boom111

  1. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuwa muelewa basi bro, kuna ambao wali apply kipindi cha nyuma, na huu utaratibu wa multiple selections hukuwa unajulikana
  2. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuna ambao tuliomba position mbili, tokea mwezi wa 8 mwaka jana lakini bado hatuja itwa kwenye interview. Je, tutakuwa not shortlisted? Naomba majibu
  3. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Vipi kama ume apply mbili tu. Hapo utakuwa NOT SHORTLISTED?
  4. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Naombeni kujua, kwa mtu ambaye amesha wahi fanya oral interview ya utumishi. Kila mtu ana tumia dakika ngapi (Mda wanao kupa kwenye oral) Mara nyingi mda ni dakika ngapi per person?
  5. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Vipi na ajira za serikali, wana cutting point GPA, mfano TRA, GCLA (kwa mkemia), TBS etc.
  6. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sasa hivi hawaiti usahili tena paka january mwakani au february
  7. B

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ana red anatoaje double chance kaka. Na ana ongozwa huko
  8. B

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Na kenge mwenyewe ni dortmund, hata double chance hatoi
  9. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Habarini za asubuhi, tupeni mrejesho mliofanya written, wale wa TBC, TCRA, DATA ANALYST, Benjamini hospital etc. Je maswali yalikua ya kuchagua (aptitude test) au kuna kada baadhi mlifanya written ya kuandika mfano explain, define, mention etc
  10. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwaio serikalini utawala
  11. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sawa, je utaanza kutaja your education back ground. Mfano primary, Secondary, advance, hadi chuo. Au unaanza kutokea kwenye your highest qualification. Na je part ya experience kuna mtu aliniambia ndio part unayo takiwa zungumuzia sana
  12. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu mimi nina swali. Kwa mfano ukiingia kwenye oral interview ya utumishi, je pale kwenye swali la "TELL US ABOUT YOUR SELF", je kwenye ile pannel ya utumishi huwa wana zingatia sana experience yako kwenye position husika au vipi?. Je kuna uwezekano ukawaambia kuwa mimi ni jobless, ili...
  13. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Brother, tupe tips za oral interview
  14. B

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nime deposit hela 1xbet kupitia airtel money, paka saivi haija ingia ni masaa mawili yanaenda. Duh kuna usalama kweli?, au msaada nifanyaje?
Back
Top Bottom