Recent content by bonile

  1. B

    Kupiga kura kwenye karatasi ya kura (Kunja karatasi kwa nje): Asante Mbowe

    mtu anapofikilia kitufulani ukiangalia hapo ukikunja kwa ndani lazima kina kaalama kata onekana upande wa pili kwahiyo nilahisi kula kuhalibika
  2. B

    Kupiga kura kwenye karatasi ya kura (Kunja karatasi kwa nje): Asante Mbowe

    mimibnajiuliza kwa nini waiweke ccm na chadema pamoja miaka yote ccm huya ya kwanza juu au chadema ata ingekuwa ya chini bila kuwa na ccm
  3. B

    Swali: Wataalamu wa I.T/ Mfumo NEC

    wananchi hawataki kwanini uwalazimishe unachotaka africa tunaitaji kiongozi wa kuwakemea wenzie kama zuma aliwahi kuwakemea wenzie na tuache sheria tulizojiwekea zifanye kazi. sasa mfano kinachoendelea congo viongozi najua mnapitia mitandao sana africa haita endelea kwa staili hii tujifunze...
  4. B

    Swali: Wataalamu wa I.T/ Mfumo NEC

    mimi swalilangu africa ni lini tutaacha wananchi wachague wanachokitaka tutaleta vita sisi wenyewe hatutaki kama ya kenya mwekiti wa tume anaulizwa nani kashinda anasema mimi sijui nieambiwa tua nitangaze. sasa matokeo ya vituoni ndio uhakika tosha yatumike hayohayo ila na mawakala wawe...
  5. B

    UKAWA: Mbinu za kuzuia Goli la Mkono hizi hapa

    miaka yote sijawaona mkila saani moja na sisi huu wali kalibia na uchaguzi, unajua mikoa mingine siku wakila wali lazima watangaze sasa tusiwahadae wananchi kila mtu anakwao atakula huko tudanganyike kirahisi pili mgombea aende atembele mwananyala gafra wala asiwataarifu au temeke alafu...
  6. B

    Majambazi wavamia na kuiba Pesa, CRDB tawi la Moshi

    inasikitisha sana kupiga mabom raia wasio nahatia haraka sana lakini.hapo yameondoka mapesa mangapi mji ambao unachuo cha mafunzo njia zote mnazijua yaani wameingia wametoka bila hata kuguswa utasema tuna ulinzi kweli hapi ni mjini. kiukweli police yetu inapaswa kujiuliza sana inafanya nini bank...
  7. B

    Majambazi wavamia na kuiba Pesa, CRDB tawi la Moshi

    ninavyo fahamu mimi crdb kuna police wawili na kuna vifaa vya kubonyeza vya ulinzi na kuna soma jkt kama sijakosea sasa inakuwa hao majambazi wanaingia na wanaiba inamaana hao matela wa benk kila mmoja anakitufe cha hatari cha kubonyeza imekuwaje hivyo vyote havijawezekana??????
  8. B

    NEC marufuku kubeba kura na mabox kwenda Halmashauri

    Mimi natoa angalizo jingine naona wengi mmelisahau la kwanza chaguzi iliopita songea alikamatwa mpiga kura akidumbukiza karatasi tatu maana yake yaani alipewa kalatasi tatu tatu sasa tume isiweke wasimamizi wenyemlengo fulani pili kumekuwa na tabia baada ya kupiga kura wanakuja watu na hotport...
  9. B

    watanzania waliopo vijijini ni kipindi cha kutunza card zao za kupigia kura

    napenda kuwakumbusha watanzania wenzangu kipindi kama hiki nikuwa makini.kipindi cha nyuma kwenye chaguzi ndogo za ubunge kwa mfano ilinga. wanachiwengi wa vijijini ni wakulima malanyingi huuza mazao yao kwa mkopo, ilipokalibia kipindi chamwisho kupiga kura wakulima waliambiwa pesa zenu za...
  10. B

    Kinachotumwa NEC sio kura zilizohesabiwa vituoni, ni zilizohesabiwa na wasimamizi wa uchaguzi

    sikiliza niambie tusidanganyane kiutaratibu miaka yote nasheria haijabadilika zoezi lakupoga kula likiisha. zoezi linaloanza nilakuhesabu likiisha kunafom zipo pale kituoni yanajazwa matokea kopy kwa mawakala na msimamizi wa tume na nyingene inabandikwa nje ya kituo hiyo form ndi inatumika kule...
  11. B

    GE2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

    mambo vipi kamanda tulushie picha za matukio huko
  12. B

    Tundu Lissu: Dr. Slaa ni muongo, watanzania mpuuzeni. Maneno yote tatizo ni Urais

    za majukumu mweshimiwa naomba sana haina aja ya kujibu na wala msiinde kwenye vyombo vya habari muacheni pigeni kampeni mabadiliko lazima
  13. B

    TANESCO wamekata Umeme sehemu kubwa ya Nchi ya Tanzania, leo 29th Aug 2015

    kinondoni wamesha kata zanzibar tokea saa nane
  14. B

    TANESCO wamekata Umeme sehemu kubwa ya Nchi ya Tanzania, leo 29th Aug 2015

    zanzibar walikata kama lisaa wameludisha
  15. B

    Tanzanian politics: Mbona dunia itafurahi, yaani team 6 ya ipo field na all enemies

    tatizo hao wamenda kusikiliza wasanii hawajafata sela za ccm kwa sabababu wamezizoea waliambiwa maisha bora kwa kilamtanzania matokeo yake shillingi imshukakabisa na maisha magumu sana
Back
Top Bottom