Swali: Wataalamu wa I.T/ Mfumo NEC

Swali: Wataalamu wa I.T/ Mfumo NEC

Hiyo hesabu ya kura milion 23 ni ndogo sana kama kuna mtu ataibiwa kura atakuwa amependa yeye kuibiwa. Kwasababu ya uvivu wake wa kufikiri. Na kama ni swala la kubadilisha namba basi inatakiwa wakihesabu kura na matokeo wakibandikwa matokeo yanapigwa picha na zinatumwa picha pamoja na matokeo ikiwezekana na ujumbe wa sauti nao unatumwa harafu tuone.hizo kura wataiba vipi.
 
UKAWA kuna tatizo la wasomi wasiojua walichosoma.
Hebu fikiria kura zimepigwa kinondoni.Ambako kuna vituo vya kupigia kura 6 kwa mfano.Kila kituo kina mawakala wa vyama vyote.Kila wakala anajua kuwa kila kituo kina kura kadhaa.Wanakubaliana wanasaini wanapeleka nakala zao kwenye vyama vyao kwa viongozi wao walioko kule kwenye kituo cha kujumlishia.Kura zile zinapelekwa kwa email au chochote.Huko njiani kwenye email zinabadilika kama zilikuwa 100 kituo fulani zinabadilika zinakuwa 1000!!

HIYO COMPUTA ULIYOSOMA WEWE UNAIJUA MWENYEWE.E-mail yako ulishaifanyia system auditing kujua kuwa ukimpelekea mtu meseji itabadilika? Au tigo pesa,mPESA system ulishaifanyia system auditing kuwa isije badilisha pesa njiani?

Najua CHADEMA wanachotaka ni kujua mfumo ukoje wauvuruge kuharibu uchaguzi kama kenya walivyouingilia kuuvuruga

Kura hata mwehu aweza hakiki.Kuwa kituo kile kilipiga kadhaa kinondoni yote jumla kura ni kadhaa ziwepo komputa au zisiwepo.Usomi usiutumie kutunga uongo kudanganya wasiosoma sio lengo la elimu hilo.

Mbona unakua mkali mkuu, hapa tunaeleweshana tu, ni kweli kura zinapigwa kwenye vituo na matokeo yanabandikwa pale kituoni, tunachokiongelea hapa ni ile hatua ya kuyatuma hayo matokeo kutoka hapo kituoni kwenda makao makuu ambapo yanajumuishwa kwa pamoja.

Kama watatuma karatasi/ scanned copy za matokeo ina maana kuna watu/mtu ataziingiza kwenye system ili kupata jumla kutoka kwenye vituo mbalimbali, hapo ndio linapokuja suala la kompyuta kiongozi!
 
Nadhan hauko updated na taarifa za tume kuwa majumuisho yatafikishwa tume kwa njia ya mtandao,as an IT expert nasema kuna uwezekano(tena mkubwa) wa kutemper na hyo software na ikaleta matokeo tofaut,ni muhim kufanya system/software auditing kabla otherwise the so called goli ka mkono linawezekana na ni rahis zaid kuiba kwa mfumo huu kuliko manual system za awali.
La muhimu ni kuwa na ulinzi wa kutosha kkwenye kila kituo na vilevile kuwa na nakala za matokeo ya mwisho kwenye kila kituo. Kama ni ku-temper na software hata kama wakipewa watu kuhakikisha bado nafasi ipo ya kubadilisha program mara baada ya kuhakikisha. Ku-install program kwenye system ni kitu kinachochukua muda mfupi sana. Na jambo jingine muhimu ni kucheki idadi ya vituo ili visiwepo vituo hewa.
 
mkuu hawatadhubutu maana kura kila kituo zitakuwa mfano magufuli kura 200 lowassa kura10,000 apo utaipa vipi na ndiyo hivyo itakavyo kuwa!!!!!!!!!!!!
na ukawa nao watakuwa wanajumlisha kwa speed kubwa sana
 
UKAWA kuna tatizo la wasomi wasiojua walichosoma.
Hebu fikiria kura zimepigwa kinondoni.Ambako kuna vituo vya kupigia kura 6 kwa mfano.Kila kituo kina mawakala wa vyama vyote.Kila wakala anajua kuwa kila kituo kina kura kadhaa.Wanakubaliana wanasaini wanapeleka nakala zao kwenye vyama vyao kwa viongozi wao walioko kule kwenye kituo cha kujumlishia.Kura zile zinapelekwa kwa email au chochote.Huko njiani kwenye email zinabadilika kama zilikuwa 100 kituo fulani zinabadilika zinakuwa 1000!!

HIYO COMPUTA ULIYOSOMA WEWE UNAIJUA MWENYEWE.E-mail yako ulishaifanyia system auditing kujua kuwa ukimpelekea mtu meseji itabadilika? Au tigo pesa,mPESA system ulishaifanyia system auditing kuwa isije badilisha pesa njiani?

Najua CHADEMA wanachotaka ni kujua mfumo ukoje wauvuruge kuharibu uchaguzi kama kenya walivyouingilia kuuvuruga

Kura hata mwehu aweza hakiki.Kuwa kituo kile kilipiga kadhaa kinondoni yote jumla kura ni kadhaa ziwepo komputa au zisiwepo.Usomi usiutumie kutunga uongo kudanganya wasiosoma sio lengo la elimu hilo.

Mkuu usilete ushabik this is too professional,kwny IT security kuna kitu inaitwa spoofing na sniffing through these unawza kubadil source ya data,ukabadili content na pia destination ya any packet inayotumwa kwny network flan, hyo unayofikiri hayawezekan kwa akili yako a kawaida kwny IT ni possible na security inafanywa na mtu kwa msaada wa software kwa hyo mtu kwa sababu zake anaweza kuanya system ikawa insecured,kwny IT km zilivo agency zimgine za security tunajifunza hacking ili kulinda bcoz it takes a thief to catch a thief kwa hyo sibahatishi nnachokisema am more than just sure!
 
UKAWA kuna tatizo la wasomi wasiojua walichosoma.
Hebu fikiria kura zimepigwa kinondoni.Ambako kuna vituo vya kupigia kura 6 kwa mfano.Kila kituo kina mawakala wa vyama vyote.Kila wakala anajua kuwa kila kituo kina kura kadhaa.Wanakubaliana wanasaini wanapeleka nakala zao kwenye vyama vyao kwa viongozi wao walioko kule kwenye kituo cha kujumlishia.Kura zile zinapelekwa kwa email au chochote.Huko njiani kwenye email zinabadilika kama zilikuwa 100 kituo fulani zinabadilika zinakuwa 1000!!

HIYO COMPUTA ULIYOSOMA WEWE UNAIJUA MWENYEWE.E-mail yako ulishaifanyia system auditing kujua kuwa ukimpelekea mtu meseji itabadilika? Au tigo pesa,mPESA system ulishaifanyia system auditing kuwa isije badilisha pesa njiani?

Najua CHADEMA wanachotaka ni kujua mfumo ukoje wauvuruge kuharibu uchaguzi kama kenya walivyouingilia kuuvuruga

Kura hata mwehu aweza hakiki.Kuwa kituo kile kilipiga kadhaa kinondoni yote jumla kura ni kadhaa ziwepo komputa au zisiwepo.Usomi usiutumie kutunga uongo kudanganya wasiosoma sio lengo la elimu hilo.

kitu kingine utambue kuwa sheria zetu (cybet laws) km ilivyosainiwa haiko hai bado katika hili hakuna experts kwny mahakama zetu wa kuandaa na kuwasilisha electronic evidence na tambua pia kupinga matokeo kwa ushahid wowote ule ni lazma ufate judicial process yan ufungue kesi,ipangiwe mda na judge wa kusikiliza n.k wakat huo muda umekwnda mgombea anayelalamikiwa anaendelea na kaz hvo hvo na kwa katiba tuliyo nayo huwez pinga matokeo ya urais ht km kuna udanganyifu akishaapishwa ndo bc
 
Hiyo hesabu ya kura milion 23 ni ndogo sana kama kuna mtu ataibiwa kura atakuwa amependa yeye kuibiwa. Kwasababu ya uvivu wake wa kufikiri. Na kama ni swala la kubadilisha namba basi inatakiwa wakihesabu kura na matokeo wakibandikwa matokeo yanapigwa picha na zinatumwa picha pamoja na matokeo ikiwezekana na ujumbe wa sauti nao unatumwa harafu tuone.hizo kura wataiba vipi.

Nimeipenda hoja yako hapo kwenye red na natamani iwe kama ulivyosema. However logistic yake ni balaa, au ndio ule uvivu uliousema mkuu??
 
mkuu hawatadhubutu maana kura kila kituo zitakuwa mfano magufuli kura 200 lowassa kura10,000 apo utaipa vipi na ndiyo hivyo itakavyo kuwa!!!!!!!!!!!!
na ukawa nao watakuwa wanajumlisha kwa speed kubwa sana

Mkuu nimeupenda huo mfano ulioutoa.
 
Hiyo hesabu ya kura milion 23 ni ndogo sana kama kuna mtu ataibiwa kura atakuwa amependa yeye kuibiwa. Kwasababu ya uvivu wake wa kufikiri. Na kama ni swala la kubadilisha namba basi inatakiwa wakihesabu kura na matokeo wakibandikwa matokeo yanapigwa picha na zinatumwa picha pamoja na matokeo ikiwezekana na ujumbe wa sauti nao unatumwa harafu tuone.hizo kura wataiba vipi.

tatizo tume sio huru taratib zote hzo ztategemea km zinawanufaisha wao chama twawala ndo zingeweza kuwa employed perfectly ila kwa hali ilivyo sasa ni ngumu ni baadh tu ndio ztatekelezwa
 
Mkuu usilete ushabik this is too professional,kwny IT security kuna kitu inaitwa spoofing

Haya tuchukulie kituo A mimi nimepata kura 10.Kituo B kina wewe umepata kura 40.Na mawakala wetu wa vyama wamehakiki na copy wanazo.Tunakubaliana matokeo tatumwe tume kujumlisha.

Haya mtaalam wa IT fanya hiyo SPOOFING yako kwenye hiyo komputa koko yako tuonyeshe majibu yatakuwaje.Tutajie kiasi kwa kila kituo.
 
Mkuu nimeupenda huo mfano ulioutoa.
ndiyo itavyo kuwa mkuu ninakuhakikishia kwajinsi upepo wa ukawa ulivyo na speed kubwa ambayo haibadilishiki magufuli hapati zaidi ya 20% ya kura zote halali !! lowassa atashinda kwa 79%
 
alisema hakuna kituo ambacho wapiga kura watazidi 450

kwa uzoefu wa kupiga kura miaka ya nyuma ambapo ilikua ni watu 500 kwa kituo,ili kiongezwe kituo ca pili kituo cha kwanza lazma kiwe na wapiga kura waliotimia 500 ss siju km liko tofaut kwa mwaka huu,pia kumbuka kuongeza vituo pasipo ulazima ni kuongeza gharama za wasimamizi kitu ambacho sihan km tume/serikali wako tayar kukifanya.
 
Mkuu usilete ushabik this is too professional,kwny IT security kuna kitu inaitwa spoofing na sniffing through these unawza kubadil source ya data,ukabadili content na pia destination ya any packet inayotumwa kwny network flan, hyo unayofikiri hayawezekan kwa akili yako a kawaida kwny IT ni possible na security inafanywa na mtu kwa msaada wa software kwa hyo mtu kwa sababu zake anaweza kuanya system ikawa insecured,kwny IT km zilivo agency zimgine za security tunajifunza hacking ili kulinda bcoz it takes a thief to catch a thief kwa hyo sibahatishi nnachokisema am more than just sure!

Mkuu Gspain, umenikumbusha novel moja ya kukata na shoka iitwayo DIGITAL FORTRESS. Nimemsahau mwandishi wake. Mtaalamu ENSEI TANKADO aliiweka korokoroni US- NATIONAL SECURITY AGENCY kitengo cha CRYPTOGRAPHY baada ya kugundua BACK DOOR waliyojibakishia kuchakachua mambo. Novel bomba sana na muafaka kuijua katika mazingira ya hofu ya uchakachuzi kimtandao huko mbeleni.
 
Haya tuchukulie kituo A mimi nimepata kura 10.Kituo B kina wewe umepata kura 40.Na mawakala wetu wa vyama wamehakiki na copy wanazo.Tunakubaliana matokeo tatumwe tume kujumlisha.

Haya mtaalam wa IT fanya hiyo SPOOFING yako kwenye hiyo komputa koko yako tuonyeshe majibu yatakuwaje.Tutajie kiasi kwa kila kituo.

ha haaa,iko hivi nlichikueleza ni mfano mmoja tu,kwny kuscan inawza fanyika namna nyingi tofauti mfano km system haijafanyiwa auditing unaweza kusave copy yako ambayo unataka kuituma then unascan tu lkn kwny kutuma unatuma ile nyingine hyo ht haihitaj uwe it expert kuifanya nadhan,na sio jambo geni ilifanyika 2010 kwa Mnyika ubungo bahat mbaya system zao ziikafeli wakatumia excel wakashindwa!
 
Mkuu Gspain, umenikumbusha novel moja ya kukata na shoka iitwayo DIGITAL FORTRESS. Nimemsahau mwandishi wake. Mtaalamu ENSEI TANKADO aliiweka korokoroni US- NATIONAL SECURITY AGENCY kitengo cha CRYPTOGRAPHY baada ya kugundua BACK DOOR waliyojibakishia kuchakachua mambo. Novel bomba sana na muafaka kuijua katika mazingira ya hofu ya uchakachuzi kimtandao huko mbeleni.

thanx bro kwa kua mfatiliaji wa mambo tatizo watz weng wanadhan hiv vitu ndo vinaanza kwetu kumbe tunaiga kwa watu tatizo hatusomi mkuu,pamoja sn kk!
 
Aaah safari hii ukawa wamenoa na waangalie vurugu watakazozianzisha wajue kabisa hawatachomoka kwenye mikono ya kazi
 
Sio visingizio,na mkuu usiamini kila kitu ukawa watang'amua pengne kwa wakat,mfano jana kuna mtu alihoji kitu muhim sijajua km pia kiko sorted out so far,Lubuva alisema kuutakua na jumla a vituo 72000 (sabin na mbili elfu) na kila kituo kina wapga kura 450,ukizidisha jumla ni wapiga kura milion 32 na laki nne wakat kwa mujibu wa tume imeandikisha watu mil. 24+ kwa haraka haraka kuna vituo hewa zaid ya elfu ishirini huoni dakili za goli la mkono hapo???
Ahsante mkuu kuumiza kichwa kufikiri na kuchambua vizuri
 
Iko possible sana kuchange data... itategemea na ethical ya administrator... na hata mkikagua leo kesho naweza cheza na database bila hata kuja kazini.. kwa skills nizijuazo.. cha kuomba hapo ni kuhakiki kwa karatasi na system pia..
km ingewezekana ukawekwa utaratibu huo na kujiridhisha kwa kuhakiki kabla ya kutangaza tatizo tume si chombo huru mkuu!
 
mimi swalilangu africa ni lini tutaacha wananchi wachague wanachokitaka tutaleta vita sisi wenyewe hatutaki kama ya kenya mwekiti wa tume anaulizwa nani kashinda anasema mimi sijui nieambiwa tua nitangaze. sasa matokeo ya vituoni ndio uhakika tosha yatumike hayohayo ila na mawakala wawe waaminifu kweli tuache tamaa ya pesa
 
Back
Top Bottom