Tunaangalia na status ya mtu kaka , mimi nikitoka hapa nikaenda kufanya hiyo ya maduka nitaoneka ni matawi ya juu tu ila kwa heshima aliyonayo dk si ndogo kiivo, na kwa hadhi yake hiyo ya maduka inamshusha ila ubalozi mbali na kuwa na mshahara pia ina heshima yake kuwa balozi wa taifa.
Sent...
Wakati mzee akitangaza kuhama ccm 1 ya 7bu alizozitaja ni kuwa ccm haikufuata utaratib kumkata lowassa.
Yawezekana ni kweli... kati ya waombaji zaidi ya 38 kila mgombea alikuwa na wanaomuunga mkono na lowassa akiwa ni mmoja wa waliogombea nae alifanikiwa kuwa na waunga mkono na 1 ya hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.