Recent content by Bongo bO

  1. B

    ECOWAS yatishia kuingilia kijeshi kama Kiongozi wa Mapinduzi wa Niger atakaidi kurudisha Serikali ya Kiraia

    Mjomba, africa unadai vipi haki, Wananchi wa niger wanasupport mapinduzi, Africa tunahitaji mageuzi makubwa wanasiasa sio watu wazuri mfano ni hapo ulipo.
  2. B

    Nani anayeihujumu TTCL? Kuna tatizo la kuadimika kwa laini, zinauzwa mpaka 7000

    Nadhani ilitakiwa minala yote iwe chini yao na kukodisha kwa makampuni ya simu ili kuhakikisha huduma inapatikana kote bila shida.
  3. B

    Nani anayeihujumu TTCL? Kuna tatizo la kuadimika kwa laini, zinauzwa mpaka 7000

    Na ni shilingi elfu mbili pamoja n vocha ya buku, lini buku.
  4. B

    Nani anayeihujumu TTCL? Kuna tatizo la kuadimika kwa laini, zinauzwa mpaka 7000

    Line zinapatikana katika maduka yao tu, ila shida inasoma tigo badala ya ttcl.
  5. B

    Je watanzania tunahitaji nini? tunafikiria na kuwaza nini? nini hatma ya nchi yetu kama mali tunazo, ardhi tunayo, je ni lini tutaondoka na kero.

    Kero kama maji, umeme, afya, elimu, ujinga na umasikini, lini tutaweza kuwa na umoja na ushikamano katika kujenga nchi, kutoa ubinafs kwa walio na nafasi, kujitegemea kupitia rasilimali zetu tulizonazo, kukataa rushwa na kutenda haki, je tunahitaji nini kama nchi ili tuweze kusonga mbele.
  6. B

    Kwa Hayati Magufuli hela anazotumia Tundu Lissu kuzurura zingetumika kujenga zahanati nchi nzima

    Alifanya hivyo kwa ajili ya kurudisha kile kilichopote, hilo pori limeungana na poli la kimisi kwenda karagwe huko ila wanyama walipotea kutokana na uvamizi wa warwanda na warundi. Hayo mapori ilikuwa ikifika saa kumi ya jioni barabara inafungwa mpaka asubuhi otherwise kuna escot ya polisi.
  7. B

    Kwanini Rais Samia ni mzito kuchukua hatua?

    Binafsi nakupinga kusema mtangulizi alirudisha maisha nyuma, hata wewe ukitaka kubadilika lazima utumie maamuzi magumu ila unafanya mabadiliko, tusipotoshe watanzania mimi bado kijana ila niliweza kutambua ni nini mzee baba alikuwa anafanya.
  8. B

    Kwa Hayati Magufuli hela anazotumia Tundu Lissu kuzurura zingetumika kujenga zahanati nchi nzima

    Hifadhi ya burigi ipo toke enzi, ulikuwa ukipita kasindaga kuwaona tembo na twiga kawaida. Ilipotezewa
  9. B

    Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023

    Angekuwepo mambo yangekuwa shwaliiiiiii murua
Back
Top Bottom