Simu inaita saa mbili asubuhi
mwanawani, jamaa hajarudi home
toka jana, waifu on ze line.
Ringitoni, sumu ya teja ukonga keko
segerea, ah sumu ya teja sumu ya
teja. Jamaa anaamua kupokea.
Wife: Uko wapi we mwanaume,
muhuni mkubwa usiku mzima
humkumbuki mkeo kazi kuzurura,
mi nimechoka...