"Japo ni maskini lilikupenda kwa dhati
Niliamini moyoni mapenzi siyo pesa
Wapo wenye pesa wameshindwa kununua penzi
Ulinidharau ......
Aeee
Ulidharau nazi wakati embe ni tunda la msimu
Kufika mjini ukageuka pazia huwezi toka ndani kama hujaletewa mdundiko ukipita unauchezea ndani ...
"Nilipokuona mara ya kwanza Jackie nilijiuliza Malaika katoka wapi kweli Baba Mungu alikuumba nywele za kuanguka uko mrembo Jackie........
Mungu akulinde mama akusaidie pia ....."
Nautafuta sana wimbo huu,umeimbwa na Mwanamziki wa kike nadhani kutoka Kongo
Tumia Aliexpress Standard Shipping
au
Singapore Post
Endapo bidhaa unayoihitaji ina option ya shipping forward moja tu, usichoke endelea kutafuta nyingine zenye option nyingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.