Kuna nilipoandika najua kila kitu?Wanasayansi hatuamini kirahisi.Nipe link nami nielimike.I studied Wildlife Science na sijawahi sikia.Sasa kma ndugu unajua basi unanijuza.Au sio chief?
Ingia hapo dartrail.fasthub.co.tz kuna details zote.Lakini kwa kukujibu tu gharama ni 49,500TZS na hii inajumlisha
1.Entry fee
2.Medali
3.Beeps
4.Vinywaji (kwa wanaokimbia na waendeshaji baskeli katika vituo)
Habari!
Je wajua kua katika jiji la Dar es Salaam kuna Hifadhi ya Pori la Akiba Pande?Ni mojawapo ya Pori linalosimamiwa na MAMLAKA YA USIMAMIZI WA WANYAMAPORI TANZANIA (TAWA).Ni kilometa 45 tu kutokea mjini Askari monument kuelekea Bagamoyo na unapokaribia kufika Kituo cha Bunju B mkono wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.