nilkuwa ts kuanzia mwaka 1971 mpaka1976 namkumbaka sana mwalimu Ndeki alinifundisha fizikia nacokumbuka alitengeneza kituo cha kurushia matangazo ya redio enzi hizo watu walishangaa sana,kuna mtu alimuulizia Kitula amestaafu jeshi wana ts wengine ni brigedia jenerali Kqriongo mkuu wa chuo cha...
Kitula alistaafa jeshini yupo uraiani mimi nilikuwa ts toka 71 na akina Mwakyembe,Mahingila wa Brela,brigedia generali Kariongo,kanali Msechu na wengine nashukuru kaw kukkumbuka Ndeki naitwa Paul Seme
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.