Recent content by Bogot'aa

  1. B

    JamiiForums Tanzania Waziri Magufuli aagiza Mkandarasi aliyejenga jengo wilaya ya Siha kukamatwa

    Mambo yote iko hapa:
  2. B

    JamiiForums Tanzania Aggrey mwanri amshangilia magufuli kuitwa jembe na m/kiti ccm -siha

    Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Siha mheshimiwa Oscar Temi mbele ya Naibu Waziri mheshimiwa Aggrey Mwanri na Diwani wa Kata ya Kihurio wilaya ya Same ndugu Robson Mkorintho mbele ya Naibu Waziri mheshimiwa Anna Kilango wote kwa nyakati tofautitofauti walimwita Dkt.Magufuli kuwa ni "JEMBE" alipofanya...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Dr. Magufuli kumfukuza Mkandarasi Kijijini kwao Pinda

    Huyo mkandarasi na afukuzwe tumechokaaaa!!
  4. B

    JamiiForums Tanzania Dr. Magufuli akagua mradi wa mabasi yaendayo kasi (BRT) jijini Dar es Salaam

    Kipindi fulani aliwahi kusema litatoka hata kama hatakuwepo Wizara ya Ujenzi , sasa hiyo expressway ikianza sijui kivumbi chake? Yangu macho!
  5. B

    JamiiForums Tanzania Dr. Magufuli akagua mradi wa mabasi yaendayo kasi (BRT) jijini Dar es Salaam

    Nakumbuka kuhudhuria kikao fulani cha Afrika Mashariki, wakenya walikuwa wakipinga sana kuijenga barabara hii ya Dsm - Chalinze kwa kuwa ingeua ile ya kwao ya Mombasa - Nairobi kwenda Uganda mpaka Rwanda na Burundi, sisi tulikataa katakata tukasimamia maslahi ya Taifa nahisi sasa imewezekana kwa...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Dr. Magufuli awahi kukwamua magari yaliyoteketea kwa moto Mikese, Morogoro

    Alikuwa anatoka Dodoma au Dsm hilo gumu kujua ila sisi tulimkuta kitambo hapo Mzani wa Mikese, hata watu walishangaa anahaha huku na kule!
  7. B

    JamiiForums Tanzania Dr. Magufuli awahi kukwamua magari yaliyoteketea kwa moto Mikese, Morogoro

    Nilimuona live akihangaika na watu wa mizani sijui alikuwa anaitwa Shift Incharge kila mtu akawa anapiga picha kadri anavyoweza:
  8. B

    JamiiForums Tanzania Rais Mstaafu Benjamin Mkapa Leo Amkabidhi Dr. Magufuli Nakala vitabu vya Hotuba zake, Kulikoni?

    Utaona anaitwa Dodoma, vielelezo Vitabu vya hotuba - anajiandaa kwa madesa ya hotuba za Urais !
  9. B

    JamiiForums Tanzania Magufuli akagua daraja la Kigamboni

    Nisaidie si wajua wengi hatupo kama kina Nchemba aka genius!!!!!!!!!!!!!!!!
  10. B

    JamiiForums Tanzania Magufuli akagua daraja la Kigamboni

    Chato ingebaki Wilaya ya TZ!
  11. B

    JamiiForums Tanzania Tanroads: Damage caused by overloading cost the nation 77bn/- this year, up from 62bn/- 2011/12.

    Tanzania National Roads Agency (Tanroads) plans to install Weigh in Motion equipment to screen heavy trucks so as to reduce the congestions and save time at weighbridges, it has been learnt. The plans are contained in a report released in Dar es Salaam by Tanroads titled: "Vehicle Overload...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Magufuli aungwe mkono kulinda barabara zetu

    Magufuli aungwe mkono kulinda barabara zetu Katuni Serikali hutumia mabilioni ya fedha kila mwaka kwa ajili ya kutengeneza barabara na miundombinu yake. Kwa kutambua hilo, Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli alisema juzi kuwa ataendelea kusimamia sheria...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Diwani CHADEMA mh.Hassan kijuu amchambua Dr.Magufuli

    Diwani wa kata ya Mbugani Hassan Kijuu alipomchambua Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli, wakati akihudhuria kuweka jiwe la msingi kwenye daraja la waenda kwa miguu, katika eneo la Mabatini jijini Mwanza.
  14. B

    JamiiForums Tanzania Ama kweli magufuli kiboko apiga kambi daraja la simiyu

    Sidhani kama anawaogopa Strabag kumbuka alimtolea uvivu Yule Mkandarasi wa Ndundu - Somanga; http://issamichuzi.blogspot.com/2013/07/dkt-john-pombe-magufuli-amwondolea.html?m=1
Back
Top Bottom