Recent content by BOFREE

  1. BOFREE

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    wajuaji wengi uyo jamaa mkeka wako hakuweka halafu mdomo mwingii lafah fulani ivi mwenye roho ya korosho
  2. BOFREE

    natafuta fundi bati na fundi welding kwa aajili ya madilisha uwe unatokea bunju au tegeta

    habari mtaalam wa kupau na mtaalam wa kuchomelea unaitajika uwe na ofisi bunju au tegeta uwe na kazi ambazo uliishawai kufanya naitaji fundi maiko sio kampuni na pia usiwe dalali uwe fundi mwenyewe wa bei iwe rafiki
  3. BOFREE

    Kama unataka ngazi za kisasa zinazojulikana kama floating stairs nichek

    uyo kazi hafanyi yeye ni dalali wa kutafuta wateja akamlalie fundi kwa 300,000 apate cha juu
  4. BOFREE

    Wataalam wa kupaua naomba kujua idadi ya bati na mbao hapa upana ni 6.15 meter na urefu ni 11.3 meter vyumba 2, Sebule, Jiko

    du mzee kwa hesabu zipi ambae ataweka mahesabi sahihi tinafanyakazi saiti ipo bunju
  5. BOFREE

    PCB division 1.3 na diploma gpa ya 5.0 nafasi ipo moja ya admission, unamchukua nani kozi ya MD MUHAS?

    utamchaguaje mtu ambae anaweza kupata ajira kwa iyo level ya diploma apo mm namchagua form six1.3
  6. BOFREE

    Plot4Sale Kiwanja kiko Goba Sqm 940 kwa 18 milion

    uzi wa mwaka 2022 ndio unaona leo
  7. BOFREE

    Nahitaji Kiwanja cha kununua

    mkuu sqm 150 ni ndogo sana iyo bora hata ingekua 300 maana kupimwa icho hakiwezi kamwe
  8. BOFREE

    Nahitaji Kiwanja cha kununua

    DDC ni dar es salaam development corporation ( shirika la maendeleo dar esalaam ) walikua wanamiliki kumbi za DDC,viwanja na nk kama wewe ni mtoto wa 2010 huwezi elewa
  9. BOFREE

    Nahitaji Kiwanja cha kununua

    vya makampuni vingi vinakua na sifa izi 1. kwa bajeti yangu kiwanja nitakachopata mji unakua bado maendeleo kama maji na umeme sababu wanachukua mapori na kukata kata viwanja 2. kiwanja kidogo tu bei kubwaa 3.makampuni mengi waongo mfano unakuta wamechukua pori la bagamoyo kiromo wanakata kata...
  10. BOFREE

    Kuhusu Luteni feki wa JWTZ: Jeshi liboreshe alama zake zinazoweza kufojiwa kirahisi

    shida sio luten uyo dogo inavyoonekana ni mwanajeshi kweli sema cheo ndio feki hadi badge imeandikwa emmanuel ili jambo litaisha kimya kimya sababu uyo sio mwanajeshi feki bali ni cheo feki
Back
Top Bottom