unaweka miaka mitatu kivipi wakati certificate ni mwaka mmoja na unachagua umesoma nn kama hauna weka cha form four na cha diploma jaza miaka 2 acha kuunganisha miaka, certificate ni certificate na diploma ni diploma siku ukiitwa usahili nenda na cha diploma na form four
wakuu sheria mpya za michezo ya kubahatisha zimekataa madubwi kumilikiwa na wachina ivyo ni either madubwi anunue mbongo au wachina wajifanye yamesajiliwa navwabongo ni marufuku mchina kusajili madubwi ndio maana wanaondoka
habari mtaalam wa kupau na mtaalam wa kuchomelea unaitajika uwe na ofisi bunju au tegeta uwe na kazi ambazo uliishawai kufanya naitaji fundi maiko sio kampuni na pia usiwe dalali uwe fundi mwenyewe wa bei iwe rafiki
DDC ni dar es salaam development corporation ( shirika la maendeleo dar esalaam ) walikua wanamiliki kumbi za DDC,viwanja na nk kama wewe ni mtoto wa 2010 huwezi elewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.