Ndugu jitambue kidogo. Mimi sio mchangiaji sana humu ila tumia akili japo kidogo. Nakonde imeonekana kama ndio epicenter ya maambukizi na madreva 26 waliopimwa asilimia kubwa (69%) ni watanzania. Tafsiri yake ni kwamba sisi ndio tunasambaza huu ugonjwa!!
Mkirudi mjue mmeliwa. Otherwise mkirudi mdai Haya:
1. Daini katiba huru
2. Tume huru ya uchaguzi
3. Watendaji (Wasimamizi) waondolewe. Wapatikane huru. (Jiulizeni, hivi kilichotokea ni kwa bahati mbaya? Kama walipewa maagizo ya kutenda uovu na wakatenda, Je mkirudi hawatapewa tena maagizo na...
Kwa ufupi, mke wangu ameefanikiwa kujifungua mtoto miezi miwili imepita sasa.
Kama ilivyo kawaida wamemtembelea marafiki zake wakiwepo majirani na kumpa zawadi mbalimbali kama pongezi kwa kuleta kichanga duniani.
Kuna jambo limenishangaza kidogo, ndio maana imebidi nije mnipe japo ushauri...
MH RAIS IKIKUPENDEZA PITIA THREAD HII AU OFISI YAKO IKUFIKISHIE!!!
Si Mawaziri,Wabunge, Watumishi wakiwemo Walimu wala Wazazi wanaozikubali shule za Kata
Mh Rais,naandika kwa masikitiko, si tu kwa sababu ya matokeo ya hivi karibuni ya kidato cha nne, Bali ya muda mrefu, na mtazamo wa wote hapo...
1. Familia inasema ni mzima kwa 100%. Mmeshafanya medical check up kujiridhisha hilo?
2. Mmesema alipiga simu nyumbani, mwanzoni ilisemekana alidondosha funguo za gari na simu. Vipi ni simu gani ametumia? Ilishindikana Ku trace hiyo namba siku zote hizi? Kwa siku zote simu haikuisha chaji?
3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.