Recent content by boda

  1. boda

    Ijue siri inayolifanya Taifa la Marekani kuwa juu kimaarifa

    Amina. Mungu ni mwema kila wakati.
  2. boda

    KERO Barabara mbovu maeneo mengi manispaa ya Kahama,huku wananchi wakijinyima na kulipa kodi

    Kumbe ipo hivi. Poleni sana. Nilijua Kazi zimeeshaanza!
  3. boda

    KERO Barabara mbovu maeneo mengi manispaa ya Kahama,huku wananchi wakijinyima na kulipa kodi

    Mbona Manispaa ya Kahama imepata fedha toka World Bank kwa ajili ya Uboreshaji wa miundombinu ya barabara. Kazi kwani haijaanza? Mikataba mbona kama walisha saini.
  4. boda

    Waziri Ndejembi: Serikali kuanzisha chombo cha kuwasimamia madalali

    Aisee. Ndio maana ya uwepo JF. Umetoa wazo zuri.
  5. boda

    Tujuzane minada yenye mzunguko wa hela mijini na vijijini wapambanaji wakatafute fursa

    Mimi pia nashauri aende Majimoto mkoa wa Katavi hasa kipindi hichi cha mavuno mwezi wa sita, saba
  6. boda

    Shirika la ujasusi la Marekani CIA laipaisha Tanzania kwa kueleza madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania pekee

    Hii inasaidia pia kwa upande wa kutangaza vivutio vyetu, maana vitu vingi vya kiutalii na kiuchumi vilivyopo upande wa Tanzania vinajulikana vipo Kenya.
  7. boda

    Mwenye kujua kampuni gani nzuri ya jiko la gesi+umeme plet 4/6

    Nafikiri anamaanisha Oven ya Umeme au Gas ipi nzuri?
  8. boda

    Mwenye kujua kampuni gani nzuri ya jiko la gesi+umeme plet 4/6

    Nafikiri anamaanisha Oven ya Umeme na Gas ipi nzuri?
  9. boda

    Mwenye kujua kampuni gani nzuri ya jiko la gesi+umeme plet 4/6

    Nakushauri tafuta kampuni ya BEKO. ni nzuri sana inaweza kuwa plate 3 gas na 1 umeme.
  10. boda

    Kifurushi halotel GB4 tshs 7000 -wiki

    Tatizo kuna code namba mnatuma alafu mnasema tuwatumie, hapo ndo tatizo. Mngekuwa mnaunganisha moja kwa moja.
Back
Top Bottom