Mbona Manispaa ya Kahama imepata fedha toka World Bank kwa ajili ya Uboreshaji wa miundombinu ya barabara. Kazi kwani haijaanza? Mikataba mbona kama walisha saini.
Hii inasaidia pia kwa upande wa kutangaza vivutio vyetu, maana vitu vingi vya kiutalii na kiuchumi vilivyopo upande wa Tanzania vinajulikana vipo Kenya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.