Hapo kwa ushauri nenda ofisi ya Halmashauri husika omba kumwona wahusika ambao ni Surveyor au Town Planner mwambie unataka akupeleke site uweze kuona eneo lako. Pia hapo mwandalie nauli ya kukupeleka na si bure.
Changamoto nimeiona ukiwa unasoma thread baada ya kufika mwisho. Ukirudi tena kwenye hiyo hiyo thread inakurudisha tena mwanzo kabisa uanze upya badala ya kuendelea pale ulipoishia
Mbona Manispaa ya Kahama imepata fedha toka World Bank kwa ajili ya Uboreshaji wa miundombinu ya barabara. Kazi kwani haijaanza? Mikataba mbona kama walisha saini.
Hii inasaidia pia kwa upande wa kutangaza vivutio vyetu, maana vitu vingi vya kiutalii na kiuchumi vilivyopo upande wa Tanzania vinajulikana vipo Kenya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.