Mtoa mada kwa fikra zake mauwaji hayajawahi kufanyika kwenye nchii hii,namkumbusha tu 1964 nyerere na akina okello waliivamia zanzibar na kufanya mauwaji ya kimbari,ukiachana na hilo mkapa pamoja na mahita waliivamia zanzibar na kufanya mauwaji ya kimbari,wote hao waliofanya mauwaji hayo hakuna...
Mimi sijui sheria,iwapo mshitakiwa atakaa mahabusu halafu huku nje polis na vyombo vya ulinz wakiuwa raia,kubaka,na kila aina ya uhalifu,je yule mshitakiwa kule mahabusu anahusika na yanatendwa huku nje?
Watanganyika mtaimba kila aina ya wimbo na kila ngoma mtaicheza,tokea april 1964 wazanzibar wamepoteza uhai kwa maelfu kwa kuupinga muungano huu mkajiona watanganyika mpo salama sana,mkae kwa kutulia na mkileta za kuleta mtazidi kupotea kaeni kwa adabu.
Dakika 5 nyingi mjomba,ndani ya dakika 1 tu wamemaliza kazi,sisi hatuna jeshi tuna uvcmm wanaovalishwa kombat za jeshi na kufundishwa kulenga raia asie na silaha,mpinzani asie na silaha,na wakosoaji wasio na silaha.
Watanganyika mlijifanya vichwa ngumu wazanzibar walipokuwa wanaongea kuhusu muungano,saiv yamewakuta mmekuwa na porojo kama zote,kaeni kwa kutulia hatuhitaji taharuki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.