Recent content by Bobwe2

  1. Bobwe2

    Vurugu za 29.10.2025, hakuna Msiba ulisafirishwa kwenda Zanzibar

    Unaifahamu katiba?katiba aliyoitumia nyerere na mkapa kuuwa ndio katiba hiyo hiyo aluyotumia samia kuuwa,nauliza tena why samia
  2. Bobwe2

    Vurugu za 29.10.2025, hakuna Msiba ulisafirishwa kwenda Zanzibar

    Mtoa mada kwa fikra zake mauwaji hayajawahi kufanyika kwenye nchii hii,namkumbusha tu 1964 nyerere na akina okello waliivamia zanzibar na kufanya mauwaji ya kimbari,ukiachana na hilo mkapa pamoja na mahita waliivamia zanzibar na kufanya mauwaji ya kimbari,wote hao waliofanya mauwaji hayo hakuna...
  3. Bobwe2

    Tundu Lissu: Mahakama ikikubali kupokea Notisi inayoongelea mauaji ya 29/10, itabidi watuambie nani aliruhusu Watanzania kuuawa

    Mimi sijui sheria,iwapo mshitakiwa atakaa mahabusu halafu huku nje polis na vyombo vya ulinz wakiuwa raia,kubaka,na kila aina ya uhalifu,je yule mshitakiwa kule mahabusu anahusika na yanatendwa huku nje?
  4. Bobwe2

    Watanganyika wengi hawapendi Muungano Tena. Bila Muungano, wanasema, Watanganyika wasingeuawa kwa namna hii ya kutisha

    Sijawahi kuona unawashauri watanganyika,halafu huu ni muungano wa nchi ushauri wa kimipasho peleka sehemu yake
  5. Bobwe2

    Watanganyika wengi hawapendi Muungano Tena. Bila Muungano, wanasema, Watanganyika wasingeuawa kwa namna hii ya kutisha

    Watanganyika mtaimba kila aina ya wimbo na kila ngoma mtaicheza,tokea april 1964 wazanzibar wamepoteza uhai kwa maelfu kwa kuupinga muungano huu mkajiona watanganyika mpo salama sana,mkae kwa kutulia na mkileta za kuleta mtazidi kupotea kaeni kwa adabu.
  6. Bobwe2

    Wanatupanga ama ni kweli pameanza kuchangamka?

    Na ile ya ICC kutua nchini je?
  7. Bobwe2

    PostGE2025 Kesi ya Lissu: Hiki ndicho Kizimba cha mashahidi wa kificho, kilichosababisha Kesi kuahirishwa

    Yaani mahakama imekubali kudhalilishwa kiasi hiki kwa kesi za kijinga,mtu mweus si mtu
  8. Bobwe2

    Ukisikia unyakuo ndio huu

    Dakika 5 nyingi mjomba,ndani ya dakika 1 tu wamemaliza kazi,sisi hatuna jeshi tuna uvcmm wanaovalishwa kombat za jeshi na kufundishwa kulenga raia asie na silaha,mpinzani asie na silaha,na wakosoaji wasio na silaha.
  9. Bobwe2

    Toa Maoni yako kuhusu picha hii

    Wanaume wawili wa mjin wakiwa kijijini wakijaza tumbo
  10. Bobwe2

    Huu ndo uamuzi bora kuwahi kufanywa na CHADEMA

    Uamuzi ni sahihi,majambazi ccm hawaamin macho yao,wamekosa uhalali wa kuongoza watz kilichobakia policcm ndio waongoza nchi
  11. Bobwe2

    Watanganyika bado mnataka Muungano eh? Someni hapa chini?

    Watanganyika mlijifanya vichwa ngumu wazanzibar walipokuwa wanaongea kuhusu muungano,saiv yamewakuta mmekuwa na porojo kama zote,kaeni kwa kutulia hatuhitaji taharuki
  12. Bobwe2

    Yuko wapi Naibu Waziri wa Michezo, Paul Makonda?

    Tatizo lake ana 2 side,mtandao & team magu,hapo alipo panamtosha hawez kuleta shida sana kwenye system
Back
Top Bottom