Hawezi thubutu kufanya hivyo. Akijaribu yatamkuta ya Malinzi na ndiyo itakuwa mwisho wake kwenye masuala ya mpira. Kwa jeuri aliyonayo Kuna ma God fadher... Ngoja niishie hapo[emoji1787][emoji1787]
Alikuwa anazungumzwa Sana tuu. Msimu uliopita mechi tough zote alizocheza Simba ilikuwa lazima apate goli la penalty ya magumashi Tena dk 86 kuendelea, aidha Mechi tough lazima timu pinzani ipate red card dk za mapema Ili istruggle au Free kicks nyingi nje ya 18. Karia tangu mwanzo wa uongozi...
Huyu mzee akiondoka pale TFF Kuna timu zitastruggle Sana kupata matokeo halali. Msimu huu wamedhamiria Azam fc wasishike nafasi ya pili kwa ajili ya kuwezesha timu Fulani zishiriki CAF CL.
Lilian Thuram mwanae anaitwa Marcus Thuram anakipiga pale Inter Milan Italy Tena ni first eleven Kuna kipindi anamuweka bench Lautaro Martinez nyota kutoka Argentina. Pia Kuna Timothy Weah mtoto wa nyota wa zamani wa AC Milan na Rais wa Liberia. Timothy Weah anacheza timu ya taifa ya Marekani...
MKAPA afumaniwa guest mbagala; ukisoma ndani kumbe ni bwana Hamisi Juma Mkapa mmakonde mmoja kutoka nanjilinji huko ndiye alutefumaniwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli, Simba wanakosea Sana kusema Yanga wanachukua mabaki waliyoyatema, Yanga wamemsajili Okra kutoka Bechem fc, pia wanasahau wao walivyomchukua Morrison kimagumashi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.