Recent content by Bobo Balde Dian

  1. Bobo Balde Dian

    Watu wangu wa R&B burudikeni kwa hizi track

    Dah safi sana mdau pia kuna Pini kama I never find Someone Like You ya Keith Martin, Vijana wa Shai na vitu kama Comforter and come with Me, Jodeci na Forever My Lady, yaani ni muziki mtamu sana what a memories
  2. Bobo Balde Dian

    Fursa: Wanaotaka kujiunga na kujifunza mchezo wa weightlifting(sio bodybuilding's) Tanzania

    Hii Kitu ni siriasi kaka kwa ajili ya Taifa na sijui unahitaji kimwagwe nini hapo.
  3. Bobo Balde Dian

    Fursa: Wanaotaka kujiunga na kujifunza mchezo wa weightlifting(sio bodybuilding's) Tanzania

    Hello habari kama Post inavyojieleza n hapo juu kwa wale woote watakaopenda kujiunga na mchezo huu wa kunyanyua vitu vizito Tanzania Tuawsliane hapa maelezo zaidi nipm: ( mchezo huu sio bodybuilding ila hata kama ni bodybuilders unataka kujiunga na kujifunza unakaribishwa pia
  4. Bobo Balde Dian

    CHADEMA kuzungumza na Waandishi wa Habari leo Makao Makuu ya Chama

    sawa ila kila mtu si mjinga wa kujua kwa nini suala la vyeti vya huyu jamaa vinashabikiwa sasa ambapo yeye kaanzisha jambo flan kubwa katika nchi sasa unapoibua kashfa katikati ya vita lengo ni nn?? jibu unalo!! nchi ina utawala wa sheria kama una mashaka na yoyote na raia mwenzako mamlaka zipo...
  5. Bobo Balde Dian

    CHADEMA kuzungumza na Waandishi wa Habari leo Makao Makuu ya Chama

    okey pia tunaomba cheti cha mwenyekiti dj cha form 4 halafu kifuate cha 0 cha bashite maana nahisi yeye alianza kumaliza shule kabla ya bashite
  6. Bobo Balde Dian

    CHADEMA kuzungumza na Waandishi wa Habari leo Makao Makuu ya Chama

    Basi tutaomba mwenyekiti atuonyeshe cheti chake cha form 4 tu vingine hatutaki halafu tutadeal na hao mawaziri unaowasema hakika hapa hatutahitaji mashirika ya kimataifa kutatua vijitatizo vidogo kama hivyo
  7. Bobo Balde Dian

    CHADEMA kuzungumza na Waandishi wa Habari leo Makao Makuu ya Chama

    Inshallah Mungu atuweke hio miaka tuone hayo mabadiliko ...kwa vizazi vyenye vision ya mabadiliko si vya hawa wapiga deal na watetea waovu wa madawa
  8. Bobo Balde Dian

    CHADEMA kuzungumza na Waandishi wa Habari leo Makao Makuu ya Chama

    Ipi ilianza kati ya bashite na saa8?
  9. Bobo Balde Dian

    CHADEMA kuzungumza na Waandishi wa Habari leo Makao Makuu ya Chama

    sidhani kama muda utakua kiongozi mzuri kwa uhanaharakati na siasa za kishilawadu kama hizi, muda utakua kiongozi mzuri kwa siasa za sera bora na mipango inayotekeleza na kila mtu anashuhudia hakika hakuatakuwa na kizuizi cha mabadiliko
  10. Bobo Balde Dian

    CHADEMA kuzungumza na Waandishi wa Habari leo Makao Makuu ya Chama

    Suala na uhakiki wa vyeti litakuja tu na halitamgusa huyo mnaemshadadia pekee hata mwenyekiti Dj ajiandae kuhakiki vyeti na pia mjiandae kuandaa topic nyingine ya kuhamisha mjadala wa msingi kama mnavyojitahidi sasa pindi mwenyekiti atakapotakiwa ahakiki vyeti
  11. Bobo Balde Dian

    CHADEMA kuzungumza na Waandishi wa Habari leo Makao Makuu ya Chama

    Haliwezi semwa kama linakuja kutuondoa katika mada kuu ya msingi maana yakisemwa hayo hata mwenyekiti dj hatakua salama katika suala la ubashite halafu akiguswa itatafutwa mada nyingine ndio maana linapuuziwa tu
  12. Bobo Balde Dian

    CHADEMA kuzungumza na Waandishi wa Habari leo Makao Makuu ya Chama

    Hakika ya mbao ni mizuri haina kioo mbele chenye kuleta kizuizi tofauti kama uliyovaa wewe yenye lens ya kukufanya ukuze vitu bila uhalisia
  13. Bobo Balde Dian

    CHADEMA kuzungumza na Waandishi wa Habari leo Makao Makuu ya Chama

    kweli kabisa mateja ni wa chama ulichokitaja kwa kuwa huko wanapewa tiba..sasa wale wasiotaka kuacha uteja wana chaka lao la kukimbilia kwa pusha wao mkuu
Back
Top Bottom