<br />
<br />
sehemu nyingine ya hatari baada ya saa 1 usiku ni Gerezani Kidongo chekundu na mtaa wa Nkrumah toka ofisi za Tigo hadi Supreme restaurant.Take care mapipo.
ADAM: It's chilly. EVE: I know.Also, these brambles are so scratchy. ADAM: And when the sun is out I burn. EVE: What about mosquitoes?Forget it. ADAM: You know what I really hate ? EVE: What? ADAM: Sitting on rough rocks...
sawa kabisa mkuu na rais wa marekani enzi zile alikuwa ni marehemu JohnKennedy hali ilitufanya baadhi yetu tuseme il mikono ni wa Nyerere na wa Kennedy.Those good old days buddies.
Na watu wengi walimchukulia mzee Kawawa kuwa hajasoma kutokana na ile character aliyoigiza katika sinema ya 'muhogo mchungu' enzi za 19kweusi akiwa mwajiriwa wa idara ya ustawi wa jamii.Hata hicho kituko kilikuzwa kutokana na dhana kuwa hakufuta umande.Kumbuka mzee Kawawa alikuwa muasisi wa...
biashara ya madawa ya kulevya inalipa ile mbaya ktk ulimwengu wa leo.nani kawasikia uvccm wakilizungumzia tatizo la madawa ya kulevya kwa vijana wetu hata siku moja??!
alipomtembelea tena mjomba wake kwa mara ya pili siku moja wakati anavuka barabara pale Manzese aligongwa na gari akafa.Gari ile ilikuwa ni ya balozi anaewakilisha nchi yake hapa bongo.Basi mambo yalienda hivi kule kwao Mvuha,''mwe Mkude kafa kifo kizuri,kagongwa na gari ya balozi"
unataka kusema hata mama Fatma Karume ameudanganya umma kwa miaka yote hii anaposema mumewe hayati mzee Karume ndiye aliyesimamia na kuongoza mapinduzi??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.