Kahama biashara ipo na mji unakua kulingana na rasilimali madini iliyopo uchumi wa lile eneo ni mkubwa kwa upande wa njombe mwingiliqno wa watu ni mkubwa kutokaa na soko la mazao hata wageni kutoka kenya wanakuja kununua mazao njombe hivyo fursa kubwa pale ni kilimo
Naomba kujua ukomo wa rais kabla ya kwenda kwenye uchaguzi ni muda gan mfano pale wanapoenda kuchukua fomu ya kugombea si walitakiwa kupewa treatment sawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.