Recent content by bob malya

  1. B

    Pascal Mayalla kazeeka haoni mbele

    Ni watu wawili tofauti.wazamani alifatuta washabiki kwa nguvu zote. bila kujali cheo cha mwanasiasa ili aridhishe mashabiki.na huyu wa sasa anajikomba kwa wanasiasa ili aweze pata uteuzi.kwani wanahabari wengi waliokuwa hata siyo level yake tayari wamelamba teuzi yeye bado.hii kitu inamchanganya.
  2. B

    Ujenzi barabara: Wabunge wamkumbuka Hayati Magufuli

    Lazima wamkumbuke kwani ni wabunge wa kuteuliwa.
  3. B

    Zainab Abdallah: Hayati Magufuli aliniteua kuwa Mkuu wa Wilaya nikiwa Mwaka wa Pili chuo

    Katika watz 60ml.alionekana mwanachuo pekee.hii ni nchi ya connection.wakwenye system ni wale wale.vyeo vya kupeana vimekuwa vingi.bila katiba mpya.twafwaaaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. B

    Msajili wa Vyama vya Siasa aitaka CHADEMA ijieleze kwanini imeanzisha ‘Bunge la Wananchi’

    Shida ni hivi vyeo vya kuteuliwa.lazima ujipendekeze kwa alie kuteuwa.katiba mpyaaaaaaa
  5. B

    Dkt. Tulia tafadhali usitulie na barua ya CHADEMA. Toa kauli tumsome Rais kupitia wewe

    Tulia anasubiria kesi ifunguliwe mahakamani.ili aseme haiingilii muamala mwingine wa sirikali.tunarudi kule kule nssr mageuzi vs Mrema na cuf lipumba(ccm)vs cuf wananchi.
  6. B

    Ni wazi kuwa hawakuwa na uhalali wa kuwa wabunge. Hakuna credit ya kisiasa mliyopata kwa kuwafukuza. Uraiani kuna political gain yoyote mtaambulia?

    Democracy is messy, and it's hard. It's never easy.but time will tell how long they will be wabunge
  7. B

    Nape Nnauye: Anaachwaje kichaa mmoja hivi anasema ‘Mama hatukuelewi’?

    Nape lazima amuelewe mama kwani yeye pamoja na wenzake wanajilia keki ya taifa bila kuangalia walalahoi wana hali gani.hii nchi.kungekuwa na katiba ya wananchi,na tume huru ya uchaguzi hawa viongozi wasingekuwa wanaongea hovyo.wala wasingekuwa madarakani.ila siku VAR zikifungwa kukakosekana...
  8. B

    Rais Samia atangaza neema punguzo ya bei za mafuta kuanzia Juni 1, 2022

    Mpaka June haitakuwa na maana kila kitu tayari kutakuwa kimepanda.maamuzi magumu yanaitajika
  9. B

    Bungeni: Mjadala wa dharura kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta nchini. Mbunge asema tozo mbili zinaongeza 792 kwenye bei

    Asalimia kubwa ni wabunge walioteuliwa na Serikali na siyo wabunge wa wananchi.kazi yao kubwa ni mapambio hakuna jipya litakalo endelea.raisi ataonyesha nguvu kwa kufuta baadhi ya tozo aonekane shujaa
  10. B

    Rais Samia: Bei ya mafuta Tanzania ni rahisi kuliko Marekani

    Hii nchi ingekuwa wananchi ndio wapiga kura.viongozi wangewaigopa wananchi.wangetafuta njia za kupunguza makali ya bei ya mafuta na mfumuko wa bei.ila iko siku watu watachoka kufanywa wajinga.no longer at easy
  11. B

    'Panya Road' ni vijana wadogo na wakubwa waliokata tamaa; wasaidiwe

    Halimaye uporaji umefika ngazi ya familia.uporaji ulianzia uchaguzi wa serikali za mitaa. ukaenda wabunge na madiwani.uporaji ukaonekana siyo dhambi.vijana wameamua kuwaiga viongozi wao.viongozi wasiohitaji kura za wananchi.hawawajali wananchi na hawawezi tengeneza mfumo wa kusaidia...
  12. B

    John Heche vs Dkt. Slaa: Je, ni kweli utekaji, kupotea kwa watu na kupigwa risasi Tundu Lissu Septemba, 2017 ni 'INSIDE JOB' ya CHADEMA wenyewe?

    ""Wasiojulikana wanajulikana mchana""Failure is the fabric that discovery is made from.""
  13. B

    Mwijaku: Arusha ndio mji pekee Mlima Kilimanjaro unapatikana

    Kosa la kukurupua watu. bila kuwapa hits za vitu wanavyokwenda kufanya.kuna siku wamasai waliandamana kutoka loliondo mpaka Arusha wakaulizwa .mmekuja kufanya nini wakasema hawajui ila wakiambiwa watawaambia. Bila elimu na watu kujitambua.tuna kazi kubwa sana tz. 90% wasanii hawajielewi...
Back
Top Bottom