Recent content by BOB LUSE

  1. BOB LUSE

    KERO Kinondoni Manispaa, kupewa kibali Cha ukarabati mchakato wa mwezi Mzima? Why?!

    Unapotaka kufanya ukarabati mdogo, Kuna utaratibu wa kupata kibali, ni chanzo Cha mapato Kwa Manispaa. Shida kubwa mwezi Mzima mtu unazungushwa na mlolongo wa sababu zisizo na Mashiko. wakati viambatanisho vyote wamepewa! Hizi Njaa zenu mnaleta usumbufu na kukosesha Manispaa Hela, Manispaa...
  2. BOB LUSE

    Zamani ukiwa na mzazi kada wa CCM, ilikuwa fahari, kwasasa unaogopwa

    Wanaotaka mfumo ubadilike ni Kwa manufaa ya Kila mtu,kama huwezi kuwa support kaa pembeni,usiwazuie au kuwapiga,wanafanya lililo ruhusiwa na. Sheria.
  3. BOB LUSE

    Zamani ukiwa na mzazi kada wa CCM, ilikuwa fahari, kwasasa unaogopwa

    Sitoi lifti Kwa Manjagu Sasa,nishaona hayana Akili,yanatumika kama kondomu na CCM
  4. BOB LUSE

    Zamani ukiwa na mzazi kada wa CCM, ilikuwa fahari, kwasasa unaogopwa

    Uamuzi wa Busara,kulinda kikundi Cha watu wachache walafi,ukasaliti Wananchi ni dhambi kumbwa
  5. BOB LUSE

    Zamani ukiwa na mzazi kada wa CCM, ilikuwa fahari, kwasasa unaogopwa

    Hawana Issue, unajiunga na CCM Kwa lipi? Labda uwe mnafiki au CHAWA wa zama hizi
  6. BOB LUSE

    Zamani ukiwa na mzazi kada wa CCM, ilikuwa fahari, kwasasa unaogopwa

    Vingunge Zamani,Waliheshimika kwakuwa walikuwa na maadili,Utu! Wasasa wapo kama Polisi, Watoto wao hawaonekani kuwa wa thamani machoni pa watu,ila kama Watoto wa vikundi vya Mafia!
  7. BOB LUSE

    Zamani ukiwa na mzazi kada wa CCM, ilikuwa fahari, kwasasa unaogopwa

    Wapo Wana CCM wachache wanaoamini katika Utu na kushindana Kwa Hoja Yakinifu zama hizi, Walio wengi wamejaa hila, uchu wa Madaraka, wizi na mipango ya kufiisha watu wanao tofautiana Kwa Hoja. Zamani Mzazi wako akiwa kada wa Chama anazijua sera na pia anajua kushawishi! Hawa vilaza wa Sasa...
  8. BOB LUSE

    Viongozi wa dini tuwe na sauti moja kukemea matumizi ya mabavu na vitendo viovu vinavyofanywa na dola

    Watumishi wenzangu, Nimeona kuna kongamano leo kuhusu Amani. Tumekuwa wanafiki na tumekosa sauti moja kuhusu rafu zinazochezwa na CCM ikisaidiwa na dola. Tusipepese macho—tuite mbichi ni mbichi katika majumuisho yetu. Anayeharibu tunu zetu ni CCM, si mabeberu wala wapinzani. Wizi wa kura...
  9. BOB LUSE

    Chawa wa wawekezaji ni wasaliti kwa wazawa!

    Unamsikia Mswahili mwenzio ha reason kama wewe,anasema sisi Bei yetu laki nne Kwa Dar! Nikauliza Kwa
  10. BOB LUSE

    Chawa wa wawekezaji ni wasaliti kwa wazawa!

    Kweli nilikuwa Sina matumizi na eneo Hilo miaka kumi iliyopita lakini kwasasa sitaki Ujinga, wananiona Mkorofi,pia sikuwa na ufahamu mkubwa wa Biashara yao,ilikuwa mpya sikujua implications kiafya na kuwa watamiliki solo la Tanzania Kwa karibia asilimia 20.Ujinga wanataka kuendelea kunufaika...
  11. BOB LUSE

    Chawa wa wawekezaji ni wasaliti kwa wazawa!

    Nilikuwa mjinga wakati wa kwenda Sasa nimeamka naona wamepagawa,hawataki nionane na Wazungu wenyewe. Vikwazo Kila kona
  12. BOB LUSE

    Chawa wa wawekezaji ni wasaliti kwa wazawa!

    Wanakomaa,utafikiri wao ndio wenye Mnara,wanagandamiza WAZAWA Kisha Wanaenda Kwa Wazungu kulipwa Hela ndefu ofisini,huku wameshusha Bei Kwa mswahili Kwa Hila
  13. BOB LUSE

    Baadhi ya maneno ya kufuru ya baadhi ya wana CCM!

    1)"Tuta Tawala Milele" Kumbuka Umilele ni wa Mungu pekee 2)"Tuta Tawala mpaka Yesu arudi" , Masihi wa BWANA anashirikishwa kwenye Siasa za ghiriba 3) "CCM kushinda sio lazima Mungu apende," Wanachagizana kuhujumu uchaguzi,wanaamini hata asiporidhia Mungu wanashinda. 4) "Unaiba kura Kwa njia za...
  14. BOB LUSE

    Chawa wa wawekezaji ni wasaliti kwa wazawa!

    Kuna Kampuni ya Mawasiliano ya simu imejenga MNARA kwenye eneo langu lililopimwa, mjini,Bandari Salama,Wanatumia eneo la 500 Sqm, Kwa malipo ya laki tatu, mkataba ulisainiwa miaka nane ya nyuma, Kimefika kipindi Cha kuhuisha Mkataba,Waswahili wanahakikisha huonani na Mzungu mwenye Kampuni...
  15. BOB LUSE

    WANAUME WAKO VITANI LISSU NA HECHE, G55 Wanawaza kugawana Nyara!

    Ukipenda kula vitu mlivyoteka Nyara vitani,Nenda vitani,sio ukae nyumbani na familia yako, walioenda kupambana wakirudi nawewe unufaike na mgao! G55 nguvu zao zielekezwe kupinga uchaguzi usio wa haki uliosababisha watu kadhaa kupoteza Maisha na wengine Mali zao na kupata ulemavu. Watu...
Back
Top Bottom