Recent content by BOB LUSE

  1. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Ni kosa kubwa kudhani Dkt. Nchimbi ataondolewa kwenye Siasa kirahisi

    Biblia inatufundisha kuhesabu gharama kabla ya kujenga Mnara. Jaribio/ Mipango ya kumuondoa kwenye Siasa Madaraka/ Mamlaka Wahusika wajipange Vizuri. Namfahamu Nchimbi nimesoma naye O level, undergraduate najua uwezo wake kiushawishi na kupambania nafasi,pia ni mtu mwenye akili na maarifa...
  2. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Kutaka katiba mpya katika Mazingira ya Utawala usiojali Maoni ya wananchi ni kujitoa ufahamu!

    Malalamiko kila kona ya watu 1) Kutekwa 2) kubambikiwa kesi 3) kupoteza wenye mawazo tofauti,Mh Polepole n.k 4) kufuta hotuba/ maudhui yanayokera viongozi kwenye media 5) kutishia Wakosoaji/ Mawazo Kinzani 6) Wizi wa kura 7) kuua watu 29/10/25 8) Bunge lilipatikana kwa hila kuzinga 9)...
  3. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Rais kwanini anahangaika na Matumizi Mabaya ya fedha kualika Vyama visivyo na Wawakilishi ( Vyama Feki)?

    Joined May 2023! It's understandable, Endelea kujifunza!
  4. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Rais kwanini anahangaika na Matumizi Mabaya ya fedha kualika Vyama visivyo na Wawakilishi ( Vyama Feki)?

    Rais ni Taasisi yenye Watu Makini, Waliobobea/ Weredi katika Fani zao mbalimbali, nachelea kuelewa kwanini katika zamani hizi bado anakumbatia Mawazo ya kutumia Mavyamq Feki kufanikisha ajenda yoyote ya kitaifa! Tuna watu Waliobobea katika utafiti, Intelligence.kwanini muendelee kulipa...
  5. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Dr Ayoub Rioba, afanye exclusive interview na Pascali Mayala, sio hao Watoto!

    Ile kwamba Paskali ni CCM,bado rekodi yake ya kuhoji Mambo Magumu na ufahamu Mkubwa wa katiba,Sheria.vinampa nafasi kubwa.Amewahi Muuliza Rais akashindwa kujibu Swali,Wabunge nao Waliishia kumhoji na kumpa vitisho. Pia ni Mkweli,hauzi utu wake,asingekuwa nasisi humu miaka yote
  6. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Dr Ayoub Rioba, afanye exclusive interview na Pascali Mayala, sio hao Watoto!

    Hata ukiniambia jina la huyo Mwanahabari,sijawahi sikia! Hard talk interview,hafanyi kila Mwanahabari,Wako watu Mahiri kwenye kazi hizo, Pale Mr Rioba ame dominate interview anajiona ana ongea point kwa kulingana na mtu anaye mhoji,anammudu!
  7. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Dr Ayoub Rioba, afanye exclusive interview na Pascali Mayala, sio hao Watoto!

    Mkurugenzi Mstaafu wa TBC, Mr Rioba,nimemsikiliza kidogo akidadavua mambo anuai, Nimejisikia Vibaya sana kuwa anafanyiwa interview na Mtoto katika Tasnia ya habari, kwenye Maswala mazito na Sensitive. Anajiona anashusha pointi kwakuwa anayeongea naye ni vijana wake bila shaka...
  8. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Rais hatakiwi kulaumiwa kwa mauaji ya Oktoba 29

    Paskali. Kama Kawaida yako, Always uko nje ya boksi, umeua wewe na ukoo wako mbawajibika kwa damu za Watu.Vizuri watu wakipewa nafasi wajue kuna maisha zaidi ya Kazi na una Wajibu wa kulinda nafsi na Dhamiri yako.Hatufanyi kazi kwaajiri ya pesa tu,tunaangalia utu, integrity.Tuki focus kwa...
  9. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Nani Amehodhi fedha? Mzunguko wa pesa ni kipengele Mtaani!

    Wananchi wanaongea kimyakimyaa utasikia upepo sio mzuri n.k
  10. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Rais hatakiwi kulaumiwa kwa mauaji ya Oktoba 29

    Mimi sio Chawa wa Mama,wala sipo miongoni mwa watu wanaolipwa ili kumsafisha Katika familia yapo mambo ambayo kiongozi wa familia anawajibika nayo kama mzazi na mengine ni ya wana familia wenyewe ( Watoto) Kutoa Uhai wa mtu sio jambo jepesi kwakuwa linagusa dhamiri ya mtu,lina mgusa Mungu...
  11. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Nani Amehodhi fedha? Mzunguko wa pesa ni kipengele Mtaani!

    Utafiti wangu mdogo wa Biashara mtaani naona kuna uhaba wa pesa,unaoleta changamoto kwa watoa huduma mtaani kupata maokoto waliyozoea. Yamepungua sana! Sijui ni Mbinyo wa Mabeberu au Makusanyo ya serikali kwa mwaka wake wa fedha ulionzq karibuni! Uwezo wa watu kuuza na kununua umehamanika...
  12. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Maswala ya katiba Mbovu ni Makosa ya Watawala waliotangulia wote, sio Mama!

    Mwasisi wa katiba hii,Ni Nyerere, aliitumia kuendesha utawala wa kiimla,Mfano kuzuia wapinzani wake kusafiri nje ya maeneo fulani,kuaminisha watu kuwa Fikra zake ndio bora na zidumu ( alikuwa na Machawa waliosifia kila kitu alichosema/ kufanya) Nyerere alifadhaisha sana wapinzani wa sera...
  13. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania KERO Responded TANESCO hii changamoto ya umeme kukatika Ilala shida nini?

    Kipindi cha Magufuli Ujinga huu wa umeme kukatika ilikuwa ni nadra sana, sasa tumerudishwa gizani bila sababu za Msingi, badala ya ku improve baada ya kupata vyanzo bora vya umeme, shida imehamia kwenye miundo mbinu! Marehemu hawezi kuongoza serikali, sisi viongozi tuache tamaa na kukosa...
  14. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania KERO Kinondoni Manispaa, kupewa kibali Cha ukarabati mchakato wa mwezi Mzima? Why?!

    Unapotaka kufanya ukarabati mdogo, Kuna utaratibu wa kupata kibali, ni chanzo Cha mapato Kwa Manispaa. Shida kubwa mwezi Mzima mtu unazungushwa na mlolongo wa sababu zisizo na Mashiko. wakati viambatanisho vyote wamepewa! Hizi Njaa zenu mnaleta usumbufu na kukosesha Manispaa Hela, Manispaa...
  15. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Zamani ukiwa na mzazi kada wa CCM, ilikuwa fahari, kwasasa unaogopwa

    Wanaotaka mfumo ubadilike ni Kwa manufaa ya Kila mtu,kama huwezi kuwa support kaa pembeni,usiwazuie au kuwapiga,wanafanya lililo ruhusiwa na. Sheria.
Back
Top Bottom