Biblia inatufundisha kuhesabu gharama kabla ya kujenga Mnara. Jaribio/ Mipango ya kumuondoa kwenye Siasa Madaraka/ Mamlaka Wahusika wajipange Vizuri.
Namfahamu Nchimbi nimesoma naye O level, undergraduate najua uwezo wake kiushawishi na kupambania nafasi,pia ni mtu mwenye akili na maarifa...
Malalamiko kila kona ya watu
1) Kutekwa
2) kubambikiwa kesi
3) kupoteza wenye mawazo tofauti,Mh Polepole n.k
4) kufuta hotuba/ maudhui yanayokera viongozi kwenye media
5) kutishia Wakosoaji/ Mawazo Kinzani
6) Wizi wa kura
7) kuua watu 29/10/25
8) Bunge lilipatikana kwa hila kuzinga
9)...
Rais ni Taasisi yenye Watu Makini, Waliobobea/ Weredi katika Fani zao mbalimbali, nachelea kuelewa kwanini katika zamani hizi bado anakumbatia Mawazo ya kutumia Mavyamq Feki kufanikisha ajenda yoyote ya kitaifa!
Tuna watu Waliobobea katika utafiti, Intelligence.kwanini muendelee kulipa...
Ile kwamba Paskali ni CCM,bado rekodi yake ya kuhoji Mambo Magumu na ufahamu Mkubwa wa katiba,Sheria.vinampa nafasi kubwa.Amewahi Muuliza Rais akashindwa kujibu Swali,Wabunge nao Waliishia kumhoji na kumpa vitisho. Pia ni Mkweli,hauzi utu wake,asingekuwa nasisi humu miaka yote
Hata ukiniambia jina la huyo Mwanahabari,sijawahi sikia! Hard talk interview,hafanyi kila Mwanahabari,Wako watu Mahiri kwenye kazi hizo, Pale Mr Rioba ame dominate interview anajiona ana ongea point kwa kulingana na mtu anaye mhoji,anammudu!
Mkurugenzi Mstaafu wa TBC, Mr Rioba,nimemsikiliza kidogo akidadavua mambo anuai,
Nimejisikia Vibaya sana kuwa anafanyiwa interview na Mtoto katika Tasnia ya habari, kwenye Maswala mazito na Sensitive. Anajiona anashusha pointi kwakuwa anayeongea naye ni vijana wake bila shaka...
Paskali. Kama Kawaida yako, Always uko nje ya boksi, umeua wewe na ukoo wako mbawajibika kwa damu za Watu.Vizuri watu wakipewa nafasi wajue kuna maisha zaidi ya Kazi na una Wajibu wa kulinda nafsi na Dhamiri yako.Hatufanyi kazi kwaajiri ya pesa tu,tunaangalia utu, integrity.Tuki focus kwa...
Mimi sio Chawa wa Mama,wala sipo miongoni mwa watu wanaolipwa ili kumsafisha
Katika familia yapo mambo ambayo kiongozi wa familia anawajibika nayo kama mzazi na mengine ni ya wana familia wenyewe ( Watoto)
Kutoa Uhai wa mtu sio jambo jepesi kwakuwa linagusa dhamiri ya mtu,lina mgusa Mungu...
Utafiti wangu mdogo wa Biashara mtaani naona kuna uhaba wa pesa,unaoleta changamoto kwa watoa huduma mtaani kupata maokoto waliyozoea. Yamepungua sana!
Sijui ni Mbinyo wa Mabeberu au Makusanyo ya serikali kwa mwaka wake wa fedha ulionzq karibuni! Uwezo wa watu kuuza na kununua umehamanika...
Mwasisi wa katiba hii,Ni Nyerere, aliitumia kuendesha utawala wa kiimla,Mfano kuzuia wapinzani wake kusafiri nje ya maeneo fulani,kuaminisha watu kuwa Fikra zake ndio bora na zidumu ( alikuwa na Machawa waliosifia kila kitu alichosema/ kufanya)
Nyerere alifadhaisha sana wapinzani wa sera...
Kipindi cha Magufuli Ujinga huu wa umeme kukatika ilikuwa ni nadra sana, sasa tumerudishwa gizani bila sababu za Msingi, badala ya ku improve baada ya kupata vyanzo bora vya umeme, shida imehamia kwenye miundo mbinu!
Marehemu hawezi kuongoza serikali, sisi viongozi tuache tamaa na kukosa...
Unapotaka kufanya ukarabati mdogo, Kuna utaratibu wa kupata kibali, ni chanzo Cha mapato Kwa Manispaa.
Shida kubwa mwezi Mzima mtu unazungushwa na mlolongo wa sababu zisizo na Mashiko.
wakati viambatanisho vyote wamepewa! Hizi Njaa zenu mnaleta usumbufu na kukosesha Manispaa Hela, Manispaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.