Recent content by boazmwitira

  1. boazmwitira

    Natafuta Mkulima wa Pili pili kichaa aina ya African Birds Eye (ABE)

    Kigoma zinalimwa sana mkuu hizo nicheki PM
  2. boazmwitira

    Naleta wateja kwenye biashara yako/company, unanipa commission

    Pitia uzi wangu Kuna Fursa Kama hiyo unayo. Hitaji
  3. boazmwitira

    Hii ndiyo Fursa utakayoingiza 50,000 kwa kila siku bila kutumia nguvu

    Nenda Instagram Natumia jina la #Amazing Pork Butcher kuna picha nyingi na post kule
  4. boazmwitira

    Hii ndiyo Fursa utakayoingiza 50,000 kwa kila siku bila kutumia nguvu

    Sasa mkuu ni Kujiongeza Thamani na wateja wako ufanye ikulipe unavyo taka wewe Kuna Jamaa tunamuuzia 8000 Yeye anauza 11000 ni wewe tu
  5. boazmwitira

    Hii ndiyo Fursa utakayoingiza 50,000 kwa kila siku bila kutumia nguvu

    Kumbe uko Moshi mkuu Mbeya tu Jumla Wanauza 5500 1KG Mm Nazungumzia Dar ambapo mtu anakula Kitimoto choma 1KG kwa 25k
  6. boazmwitira

    Hii ndiyo Fursa utakayoingiza 50,000 kwa kila siku bila kutumia nguvu

    Mkuu unapotosha Zunguka Dar nzima hakuna 1KG inayo uzwa 7000 Nyama mbichi kwenye Mabucha Dar 1KG Wanauza 10,000 Nenda tu pale Kigogo Sambusa kaulizie Hii ni Fursa tu nimeshare na wezangu sipati Kama unavyo fikilia wewe kupata 500 kwenye kila 1KG ni hela nyingi kwa wafanya biashara wanaelewa hii
  7. boazmwitira

    Hii ndiyo Fursa utakayoingiza 50,000 kwa kila siku bila kutumia nguvu

    Ni sahihi mkuu 25,000 kwenye mahesabu nimechanganya Unaweza kutengeneza kilo 50 _ 100 hii Ndo point
  8. boazmwitira

    Hii ndiyo Fursa utakayoingiza 50,000 kwa kila siku bila kutumia nguvu

    Asante Sana mkuu Kwa Msaada[emoji120][emoji120][emoji120]
Back
Top Bottom