Recent content by Bn Bedas

  1. Bn Bedas

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    Discuss the economies and diseconomies of scale in Tanzanian context.
  2. Bn Bedas

    JamiiForums Tanzania Kwa anayejua ufaulu unaohitajika Ilboru, Kisimiri au Tabora boys

    Unataka kusema Sikuhizi 70 ni "A" ?
  3. Bn Bedas

    JamiiForums Tanzania Hivi suala la kugawa vishkwambi linahitaji sherehe kweli?

    Wameshagawa hukoo kwenu???
  4. Bn Bedas

    JamiiForums Tanzania Binti ninayemtongoza anataka nimuazime Tsh. 100,000/-

    Jichanganye [emoji28][emoji28]
  5. Bn Bedas

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa dawa zinazoweza kutibu Epididimitis

    Shukrani Dr. Ntajitahidi nizipate
  6. Bn Bedas

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa dawa zinazoweza kutibu Epididimitis

    Okay Shukrani Mkuuu.
  7. Bn Bedas

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa dawa zinazoweza kutibu Epididimitis

    Nilitumia dawa hizi kama dozi ya Siku Saba
  8. Bn Bedas

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa dawa zinazoweza kutibu Epididimitis

    Kwa uandishi wa madaktari sijui kama naweza soma jina la dawa,,, But Len me try
  9. Bn Bedas

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa dawa zinazoweza kutibu Epididimitis

    Epididimitis inaweza kutibiwa kwa dawa gani? Hilo ndio Swali na ndio naliombea Majibu. Ungesoma Kwa utulivu kama ulivoandika Msg yako tungeelewana kwa urahisi.
  10. Bn Bedas

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa dawa zinazoweza kutibu Epididimitis

    Sorry Dr. Hivi karibuni nilikumbwa na dalili zilizonifanya nihisi Nina hernia lakini nilifanikwa kwenda hospitali nikafanyiwa utra sound na ikabainika kuwa sikuwa na hernia bali epididimitis nilipatiwa dawa lakini dawa zile bado sijaona Matokeo yake mpaka sasa. Hivyo naomba kujuzwa na...
Back
Top Bottom