Naomba kufahamishwa dawa zinazoweza kutibu Epididimitis

Bn Bedas

Member
Jan 7, 2021
10
2
Sorry Dr. Hivi karibuni nilikumbwa na dalili zilizonifanya nihisi Nina hernia lakini nilifanikwa kwenda hospitali nikafanyiwa utra sound na ikabainika kuwa sikuwa na hernia bali epididimitis nilipatiwa dawa lakini dawa zile bado sijaona Matokeo yake mpaka sasa.

Hivyo naomba kujuzwa na kufahamishwa aina nyingine t's dawa ambazo kwa Hakika zitakomesha Tatizo hili(Epididimitis).

Natanguliza Shukrani Zangu za dhati.
 
Sorry Dr. Hivi karibuni nilikumbwa na dalili zilizonifanya nihisi Nina hernia lakini nilifanikwa kwenda hospitali nikafanyiwa utra sound na ikabainika kuwa sikuwa na hernia bali epididimitis nilipatiwa dawa lakini dawa zile bado sijaona Matokeo yake mpaka sasa. Hivyo naomba kujuzwa na kufahamishwa aina nyingine t's dawa ambazo kwa Hakika zitakomesha Tatizo hili(Epididimitis).
Natanguliza Shukrani Zangu za dhati.
Hueleweki mkuu.

Kichwa cha habari kinahitaji maswali huku habari iliyo ndani ikiomba majibu.,,,, au ndio unaiishi hii mitano kivitendo?
 
Epididimitis inaweza kutibiwa kwa dawa gani?

Hilo ndio Swali na ndio naliombea Majibu. Ungesoma Kwa utulivu kama ulivoandika Msg yako tungeelewana kwa urahisi.
 
Sorry Dr. Hivi karibuni nilikumbwa na dalili zilizonifanya nihisi Nina hernia lakini nilifanikwa kwenda hospitali nikafanyiwa utra sound na ikabainika kuwa sikuwa na hernia bali epididimitis nilipatiwa dawa lakini dawa zile bado sijaona Matokeo yake mpaka sasa.

Hivyo naomba kujuzwa na kufahamishwa aina nyingine t's dawa ambazo kwa Hakika zitakomesha Tatizo hili(Epididimitis).

Natanguliza Shukrani Zangu za dhati.
Common treatments include:
  1. antibiotics, which are administered for 4 to 6 weeks in chronic epididymitis, and can include doxycycline and ciprofloxacin.
  2. pain medication, which can be available over-the-counter (ibuprofen) or can require a prescription (codeine or morphine
  3. Mkuu kwa dawa za Hospitali kwa maradhi yako utapata nafuu na sio kupona kabisa sio rahisi kwa hayo maradhi uliyokuwa nayo .Ila kwa dawa za asili ukitumia unaweza kupona maradhi yako.
 
Sorry Dr. Hivi karibuni nilikumbwa na dalili zilizonifanya nihisi Nina hernia lakini nilifanikwa kwenda hospitali nikafanyiwa utra sound na ikabainika kuwa sikuwa na hernia bali epididimitis nilipatiwa dawa lakini dawa zile bado sijaona Matokeo yake mpaka sasa.

Hivyo naomba kujuzwa na kufahamishwa aina nyingine t's dawa ambazo kwa Hakika zitakomesha Tatizo hili(Epididimitis).

Natanguliza Shukrani Zangu za dhati.
Piga picha hiyo dawa lakini nakushauri tafuta AZITHROMYCIN 500mg od kwa siku tatu...! Hii mara nyingi husababishwa na infection ambayo inaweza kuwa ni STD au UTI ya kawaidaa..
 
Nilitumia dawa hizi kama dozi ya Siku Saba
20201230_160717-1.jpg
20201230_160822-1.jpg
 
Common treatments include:
  1. antibiotics, which are administered for 4 to 6 weeks in chronic epididymitis, and can include doxycycline and ciprofloxacin.
  2. pain medication, which can be available over-the-counter (ibuprofen) or can require a prescription (codeine or morphine
  3. Mkuu kwa dawa za Hospitali kwa maradhi yako utapata nafuu na sio kupona kabisa sio rahisi kwa hayo maradhi uliyokuwa nayo .Ila kwa dawa za asili ukitumia unaweza kupona maradhi yako.
Okay Shukrani Mkuuu.
 
Piga picha hiyo dawa lakini nakushauri tafuta AZITHROMYCIN 500mg od kwa siku tatu...! Hii mara nyingi husababishwa na infection ambayo inaweza kuwa ni STD au UTI ya kawaidaa..
Vipi kuhusu vericocele, pia hivyo vidonge vinafaa?
 
Back
Top Bottom