Dah wewe jamaa ni mwanaume wa ajabu sana hutaki mke awe uchi dah. Huyo mkeo anakuachia hiyo maana yake wewe wakati wowote unatafuna papuchi bila fujo sasa wewe endelea kuichoka uje saidiwa huku nje.
Ndugu huyo mkeo anawezekana teyari ameanzisha mahusiano nje au ndio anaanza kusaliti ndoa rasmi. Kwa kusema hivyo anatafuta faraja ya moyo wake kuwa ameshakuambia kuwa wewe alikubali umuoe kimakosa kwani wewe sio aina ya mwanaume ampendaye. Pole lakini kubwa zaidi kuanzia sasa kuwa makini sana...
Muache huyo mke wako kwani tokea mwanzo alipenda ulichonacho na sio wewe. Asilimia 90 ya wanawake huingia kwenye ndoa / mahusiano kwa kuangalia mwanaume unacho kitu gani kwa wakati huo au uwekezaji wako wa sasa ambao utakupa mafanikio mbeleni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.