Recent content by BlueIvy

  1. BlueIvy

    Hivi mbona Salama Jabir haolewi na hana Mtoto

    Sjui hata wanadamu wa kitanzania wanakuwaga na nn, utasikia mtu anakuuliza kwa mshangao kheee! Hujaolewa!? Huna mtoto!? Unasubiri nn?! Bila kujua hizo ni zawadi kuna kupata na kukosa, na zaid sana kila mtu anauhuru wa kufanya mipango na kutimiza malengo yake kivyake vyake muhimu havunji amani...
  2. BlueIvy

    Uchumba wa muda mrefu umenichosha

    Kama mnaishi pamoja tatzo huanzia hapo, kuna wengine wamebariki ndoa juz wamekaa uchumba miaka 30. Wana wajukuu sasa, ila yako inanitsha maana hataki hata mpate na watoto, hii ni changamoto sasa. Vp wazazi wako wanasemaje katika hilo?! Na ww unaonaje!? Maana kisheria mkishaishi miez mitatu...
  3. BlueIvy

    Nini kimechochea wimbi la wanawake wa kisasa kuwa na vitambi?

    Umeongea kwa hisia kali mkuu 🤣🤣, kuna mmoja aliniambia yy anapenda kuwa bonge mweny minyama zaid ya alivyo sasa hapend kuwa mwembamba ni anakula sijapata ona oyaa eenh kuna wadada wanajua kula jaman
  4. BlueIvy

    Nuh Mziwanda afunguka machungu ya Maisha adai akifa "asije baba, mama wala ndugu" kunizika! Aomba azikwe na Serikali

    Usiombe yakakukuta ila kuna wamama wabayaaa dunian hapa acha, mpk unaweza uulize ni kakuzaa kweli au vp. Jamn kama umepata wamama wazuri mshukuru Mungu, yaan wanawake waonee tuu ila mama anaweza akuchukie mpka ukamshangaaa yaan anakuchukia chukio kuuu.....
  5. BlueIvy

    Bora kumtoa kafara mzazi ama mtoto ili kuokoa wengine ktk ukoo kutoka kwenye lindi la umaskini

    Sidhan kama ni akili yako, ila kila mtu ana jinsi yake ya kuchanganyikiwa.........yan kuna muda tuuu uchizi unampata mtu kwa ghafla, lkn atakaa sawa baada ya muda mfupi.
  6. BlueIvy

    Bili yako ya maji mwezi Februari inaendana na uhalisia wa matumizi yako?

    Huenda wamepandisha bei ya hizo unit zao, mim mwez huu nimeletewa bili ya 5000 na ni unit 3 ndzo nilizotumia.
  7. BlueIvy

    Wanaume mnajua mna matatizo

    Hakika ww ni mfano wa kuigwa, lakn wenzio hawaulizi zaid sana wanadanganya ooonh nitakuoa.....si mwanamke tu anapotezewa muda hata ninyi wanaume kuwa kweny mahusiano ambayo hujui hatma yake ni kupotezeana muda.
  8. BlueIvy

    Ndugu zangu Kuna upendo kweli hapa?

    Ila ukistaajab ya Musa utaona ya Firauni, m4 mahari 😳, nadhan mimi ni mshamba au sielewi.........kama una eneo anza ujenzi wa mabanda ya uwani kisha upangishe.
  9. BlueIvy

    Wanaume mnajua mna matatizo

    .......muwapunguzie mateso jamani. Dada wa watu uchumba unakaa nae miaka 5 kisha unaenda oa mwingine jamani, ujue kuweni na imani walau kidogo.
  10. BlueIvy

    Wanaume mnajua mna matatizo

    Tatazo wenzetu wakipenda wamependa kweli, sasa huku kwetu anakaa na ww miaka mitatu au zaid alafu haupo peke yako anafanya kuwashindanisha kama ligi ya mbuzi. Mwisho anaoa mwingine, baadae mambo yakimuendea mrama anakuja kukuambia kuwa alirogwa. Kumbe ni lana za aliowapotezea muda. Kama anafaa...
  11. BlueIvy

    Ipo Siku Nitakuwa wa Kwanza Kuanzisha Kampeni ya Kuwakomboa Dada Zetu Wanaojiuza: Nitafanya Hivi

    Mzoea vya kunyonga katuu hawez vya kuchinja, mazoea hujenga tabia. Tabia ni kama ngoz ya mwili.............kunguru hafugiki
Back
Top Bottom