Siku za mvua hatutaki enda morning prepo so tunaweka vitanda kwenye entrances zote za bweni, tunapanda dalini na kutoa bulbs then tunakaa juu mpaka mvua ikate. A friend of mine almost fell down kwa kupitiliziwa na usingizi, ahahahahaha remembering this makes me laugh
Kwa sasa sielewi muelekeo wa serikali yetu, kila kukicha ni kugandamizwa kwa wananchi na kupotea kwa trust to our government. Sasa ni mwendo wa ku-enact laws pale jamaa anapoamka tu na mawazo ya asubuhi.
Kuna any producer wa EDM, kama upo jitambulishe tuweze juana na kupeana support in any wway we can. Mi naitwa Raphael under alias ya BITMEX sijarelease tracks nyingi za EDM ila kun a lot of fire zipo in store nazishughulikia. Nafanya kila genre as long as iko energetic Future Bass(my area)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.