Recent content by Blood of Jesus

  1. Blood of Jesus

    Prof. Anna Tibaijuka: Kutumia Mahakama kudhoofisha Vyama vya Upinzani hakujawahi kuleta ushindi kwa Serikali wala kuviua Vyama vya Upinzani

    hii ni fact: Kwa Tanganyika chadema imepata nguvu mioyoni mwa watu kuliko kawaida. ni swala la muda tu, kila kitu kutakuwa wazi
  2. Blood of Jesus

    Tangu Bashe atemwe uwaziri ni kama kachanganyikiwa fulani hivi

    wasomali akili zao wanazijua wao wenyewe, achana naye
  3. Blood of Jesus

    Gerson Msigwa: Hakuna uvamizi uliofanyika katika Ofisi za JamiiForums

    wakati huo watumishi wa Mungu tunaendelea kumsihi Mungu afanye aliyofanya kwa waMisri kipindi cha nabii Musa. pale nchini Misri na pale Red sea
  4. Blood of Jesus

    Oktoba tunatiki!!

    wewe ni mtumishi wa Mungu unayebariki uovu, uliye kinyume na haki. Najiuliza ikiwa unamtumikia huyu Mungu wa haki., Mungu wa mbinguni. Andiko la ya mpeni kaisari halihalalishi udhalimu.
  5. Blood of Jesus

    Sababu gani hupelekea watu kujenga na kuishi juu ya milima katika jiji la Mwanza? Maisha ya makazi huko milimani huwa yakoje?

    huyo anayeumiliki mlima yeye aliupataje. milima si ni Hifadhi? na nadhani serikali inazisimamia sheria za uhifadhi kupitia Halmashauri husika, sio?
  6. Blood of Jesus

    Sababu gani hupelekea watu kujenga na kuishi juu ya milima katika jiji la Mwanza? Maisha ya makazi huko milimani huwa yakoje?

    huwa vinauzwa? nani mmiliki wa milima hiyo, binafsi huwa naona kuwa ni makazi ya mazingira magumu sana,
  7. Blood of Jesus

    GE2025 ACT Wazalendo: Uchaguzi Mkuu 2025 umekithiri uonevu, mizengwe, na ubabaifu

    naomba kuuliza kwa wanaojua: ACT ni chama cha upinzani?
  8. Blood of Jesus

    Israeli - Imekuwa Taifa lenye nguvu kubwa sawasawa na jinsi Mungu alivyoahidi

    jaribu kuficha upumbavu ngaa kidogo. mpumbavu akikaa kimya huhesabiwa hekima Mithali 17 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ²⁷ Azuiaye maneno yake ni mwenye maarifa; Na mwenye roho ya utulivu ana busara. ²⁸ Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.
Back
Top Bottom