Recent content by Blood of Jesus

  1. Blood of Jesus

    JamiiForums Tanzania Lissu, alikuwa hajui kuwa anacheza na moto akili itakaa sawa

    sikujua kama hilo jamaa lina utaahira mwingi hivyo Lissuphobia ndio inayowasumbua
  2. Blood of Jesus

    JamiiForums Tanzania Wadudu na wanyama wakifa huwa wanaenda wapi?

    mtu ni roho mwenye nafsi anaishi kwenye jumba liitwalo mwili. Kifo ni roho kutengana na mwili. Mtu huyo hutoka katika ulimwengu wa mwili na damu na kuingia katika ulimwengu wa roho. Umeshawahi kujiuliza kuwa unapokuwa tumelala usingizi mzito sana unakuwa uko wapi?
  3. Blood of Jesus

    JamiiForums Tanzania Wadudu na wanyama wakifa huwa wanaenda wapi?

    kimeandikwa na Roho Mtakatifu kupitia mtume Paulo. Ni NENO la Mungu. Mungu hufanya kazi kupitia watu., kwa ajili ya watu
  4. Blood of Jesus

    JamiiForums Tanzania Wadudu na wanyama wakifa huwa wanaenda wapi?

    Warumi 8 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ¹⁹ Kwa maana viumbe vyote pia vinatazamia kwa shauku nyingi kufunuliwa kwa wana wa Mungu. ²⁰ Kwa maana viumbe vyote pia vilitiishwa chini ya ubatili; si kwa hiari yake, ila kwa sababu yake yeye atiyevitiisha katika tumaini; ²¹ kwa kuwa viumbe vyenyewe navyo...
  5. Blood of Jesus

    JamiiForums Tanzania Wadudu na wanyama wakifa huwa wanaenda wapi?

    anarudi mavumbini kwa njia ya nyesi
  6. Blood of Jesus

    JamiiForums Tanzania Ikijulikana mahakama ilidanganya kuhusu CDF itaaminika tena?

    kwamba wataichelewesha hiyo rufaa ili wazidi kumuumiza genius
  7. Blood of Jesus

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mchora katuni gazeti la Mwananchi, King Kinya afariki dunia

    "My his soul" = May his soul
  8. Blood of Jesus

    JamiiForums Tanzania Kwa dalili zote hizi, bado tu huamini kuwa Yesu Yu karibu kurudi?!

    kinachowekwa kaburini ni mwili wako ila sio wewe
  9. Blood of Jesus

    JamiiForums Tanzania Ila Mahakamani😃😃😃😃

    wanadhaliisha Taasisi. na haya yote wameyataka wao, kuwaendekeza wanasiasa
  10. Blood of Jesus

    JamiiForums Tanzania Lissu ndiyo mtu anakimbiwa na IGP , CDF 🤦🏾‍♂️

    Lissu sio mtu wa kawaida. wengi hawajajua ukweli huu. Time will tell!!!!
  11. Blood of Jesus

    JamiiForums Tanzania Mashahidi watatu wa Lissu waliobaki (IGP, CDF na DCI) wote wapo nje ya nchi

    akikata rufaa wataichelewesha, maana toka awali ni wazi kuwa nia yao ni kuendelea kumshikilia, maana si kwamba hawajui kuwa hakuna kesi ya msingi hapo, Mungu wa mbinguni ni Mungu wa wanaoonewa siku zote
  12. Blood of Jesus

    JamiiForums Tanzania Leo 16 September Mahakama inaendelea kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri

    MPs watakamatwa kwa majina yao sio kwa vyeo ama madaraka yao.
  13. Blood of Jesus

    JamiiForums Tanzania Leo 16 September Mahakama inaendelea kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri

    tuna wasomi wajinga sana
  14. Blood of Jesus

    JamiiForums Tanzania Leo 16 September Mahakama inaendelea kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri

    which means wamejificha !!!
Back
Top Bottom