wewe ni mtumishi wa Mungu unayebariki uovu, uliye kinyume na haki. Najiuliza ikiwa unamtumikia huyu Mungu wa haki., Mungu wa mbinguni. Andiko la ya mpeni kaisari halihalalishi udhalimu.
jaribu kuficha upumbavu ngaa kidogo.
mpumbavu akikaa kimya huhesabiwa hekima
Mithali 17 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²⁷ Azuiaye maneno yake ni mwenye maarifa; Na mwenye roho ya utulivu ana busara.
²⁸ Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.