mtu ni roho mwenye nafsi anaishi kwenye jumba liitwalo mwili. Kifo ni roho kutengana na mwili. Mtu huyo hutoka katika ulimwengu wa mwili na damu na kuingia katika ulimwengu wa roho.
Umeshawahi kujiuliza kuwa unapokuwa tumelala usingizi mzito sana unakuwa uko wapi?
Warumi 8 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁹ Kwa maana viumbe vyote pia vinatazamia kwa shauku nyingi kufunuliwa kwa wana wa Mungu.
²⁰ Kwa maana viumbe vyote pia vilitiishwa chini ya ubatili; si kwa hiari yake, ila kwa sababu yake yeye atiyevitiisha katika tumaini;
²¹ kwa kuwa viumbe vyenyewe navyo...
akikata rufaa wataichelewesha, maana toka awali ni wazi kuwa nia yao ni kuendelea kumshikilia, maana si kwamba hawajui kuwa hakuna kesi ya msingi hapo,
Mungu wa mbinguni ni Mungu wa wanaoonewa siku zote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.