Bila kutarajia na kwa s
usiri wa hali ya juu wapinzani wakitegemea kikao cha bunge kitaendelea wiki ijayoJumatatu 6/7/2015 badala yake kimefanyika jumapili na wabunge wengi wa upinzani wakiwa mikoani na mjadala unaendelea kama kawaida kama kawa na UKAWA nje ya bunge.kumekucha na inawezekana...
Kweli watu wameichoka ccm leo nimepanda daladala nikaisifu ccm kwa maendeleo kidogo nichapwe makofi na mzee mmoja anaonekana katoka musoma huyu,mzee kaniuliza una umri gani unashabikia ccm,nikaohopa kidogo wanishushe kwenye gari,mwenyewe nikaamua kushuka kabla sijafika kituo changu cha samakisamaki.
Kuna uhusiano gani kati ya hii Miswaada na pensheni ya mamilion ya wabunge TSH 230,000,000/=.
Najaribu kufigure out kwanini Mh Mnyika alisema atazikataa,hapa napata mashaka makubwa.
Nakubali kweli ndani ya CCM kuna mtikisiko mkubwa ambao haujapata kutokea,Mapinduzi makubwa yanapaswa kufanyika sasa na sio sasa sasa hivi,Dk JM Kikwete hana budi kuchukua hatua kama Rais na sio kama Jakaya,Maamuzi yake yatakuwa ni kumbukumbu ya Kiama cha CCM
"I WANT TO BE PRESDENT"
I would like to ask all those who are aspiring for presidency only one question. 1. How will you raise the value of a shilling to dollar? The exchange rate Now stands at 1USD = TSH 2,300/= Before independence the exchange rate was TSHS 3 against 1 dollar. After all...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.