CCM na siri za miswada ya dharula

CCM na siri za miswada ya dharula

yaani haiwezekani kuwa dhalula kiivyo hawa jamaaa wanataka kupitisha hili afu jk a sign
iwe sharia hawa jamaawamesha piga pesa hawa
 
Ukiona maccm yanalazimisha kitu, ujue kuna ufisadi nyuma yake. Ni suala la muda tutajua tu. Kuna vitu vichafu ambavyo "vibaka" wanataka kufanya. Bahati mbaya wabunge wengi wa ccm wanapitisha lolote bila kusoma. Akili yote ipo kwenye "mafao" ya million 230.
 
Hawa ndorobo ndiyo wanazidi kujimaliza na kutupatia hoja za kuwashawishi wananchi kwa nini ni hasara kuwa na wabunge wengi wa ccm, wenyewe wanafikri wanawakomoa ukawa kumbe ndiyo wanawiapa nondo za kuwachapia, asanteni sana mafisi wa kijani toka lumumba.
Tafadhali wana ukawa hakikisheni mnawafafanulia wananchi kinagaubaga waelewe madhara ya kupitisha hii miswada kwa dharura. Hapa mmesha score political points. Sasa mkabiliane ma upotoshaji wa maccm. Halafu wakiwafungia kwenda bungeni tokeni kwa wananchi pale jangwani au hapo ddm pigeni mkutano wa nguvu kuwaumbua hawa mafisadi.
 
Kuna uhusiano gani kati ya hii Miswaada na pensheni ya mamilion ya wabunge TSH 230,000,000/=.
Najaribu kufigure out kwanini Mh Mnyika alisema atazikataa,hapa napata mashaka makubwa.
 
Uzuri mimi nilishafanya maamuzi ya kura yangu siku nyingi tu nasubiri tarehe tu kuwanyonga maccm wa ngazi zote.
 
​Itakuwa muhimu sana kama KUB itatuambia kilichomo humo ambacho ni kibaya na wanakijua!!
 
Kwa hali kama hii ya kupitishwa miswada Kwa hati ya dharula kipindi hichi chauchaguzi ccm wanalao jambo mtanzania mwenzangu usikubali kuchagua kiongozi Wa ccm wanaoangalia maslai ya chama na sio wananchi
 
Mungu bariki majimbo yote yenye wapinzani
 
Kuna uhusiano gani kati ya hii Miswaada na pensheni ya mamilion ya wabunge TSH 230,000,000/=.
Najaribu kufigure out kwanini Mh Mnyika alisema atazikataa,hapa napata mashaka makubwa.

Hapo ndy uamini kuwa ccm ndy mchwa kwa maendeleo ya Taifa. Tujitahidi tu kuwashawishi au kuwaelimisha watz wenzetu ambao wameathirika kwa kupofushwa na mapenzi kwa ccm
 
Back
Top Bottom