Rushwa hasa katika level za chini za watumishi waserikali hususani trafiki police, hospitalini, wizarani, TRA, Bandarani zimepanda bei kwa kasi sana mfano trafiki anakukamata anakubambikia makosa anakuambia akuandikie Tsh 60,000 au umpe Tsh 30,000 aweke mfukoni.
Rushwa ni adui wa haki, kataa...