Recent content by blingz

  1. B

    Ufupi wangu na kitambi ni changamoto kubwa sana

    Kaka ngoja niquote verse kwenye nyimbo ya rayvanny ya unaibiwa "ukiwa na pesa utasifiwa kitambi" cha msingi tafuta pesa kaka utasifiwa na hicho kitambi chako.....ila umeandika kwa hisia kinomaaa
  2. B

    Watoto wa kiume wadogo wanatupenda sana siku hizi

    dada ndo kwanza miaka 24 nafikisha nadhani nnafaa kabisa kukuchukua
  3. B

    Vifaranga vya kuku 6,400 vyateketezwa kwa moto baada ya kukamatwa vikiingizwa nchini kinyume na sheria kutoka Kenya

    this is out of conscious....kiutu tu ni ngumu kwa mtu wa kawaida kuchoma a living creature, no one has the authority to take a life of any creature in such a manner
  4. B

    Naomba wataalam wa ku-root tecno

    Haiwezekan mkuu
  5. B

    Naomba wataalam wa ku-root tecno

    Android zote unaweza kuziroot sema Tecno mara nyingi zinasumbua kuziroot
  6. B

    Naomba wataalam wa ku-root tecno

    Ni ku factory restore sema factory restore inaianzisha simu inakua kama ulivoinunua mpya ila kuroot unamuondolea mamlaka kabisa aliyeitengeneza hiyo simu na kujipa ww mwenyewe
  7. B

    Naomba wataalam wa ku-root tecno

    mkuu kuroot simu za tecno mara nyingi inapelekeaga kuziharibu....inakua ukiwasha inaanza kuoptimize application zote za sim na ina weza kuchukua hata dakika 5 kuwasha tu simu yako
  8. B

    Naomba wataalam wa ku-root tecno

    kuroot ni kitendo cha ku restore simu ili uwe na mamlaka kama ya developer wa simu...lengo kubwa la kuroot ni pale ambapo baadhi ya vitu vinasumbua kufunguka mpaka uwe na developer permissions.
  9. B

    Nini dawa ya mwanamke anayekutukana mara kwa mara?

    ila si keshaombwa msamaha ilibid aelewe kama anajitambua..Af kumtukana mwanaume haiingii akilini kabisa
  10. B

    Nini dawa ya mwanamke anayekutukana mara kwa mara?

    mwanaume kutukanwa na mwanamke af ukamuacha ni ulofa...ilibid umpe hta kofi moja kama kipashio
Back
Top Bottom