Hahahaha..
Apana chezea
MKE; Hee.. kunani? mbona hivyo?
MUME; Majambazi mke wangu, wamenikamata, wameniibia kila kitu mpaka nguo na kunipiga.
MKE; Naona wamekuvalisha na condom..
MUME; Aaah condom nimenunua kujistiri baada ya kuona niko uchi kabisa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.