Wana jamii forum naomba kuuliza jambo nimepoteza kadi ya bank sihitaji ku renew ile card lakin nahitaji tu kutoa pesa zangu zilizopo baasi maana nina card ya bank nyingine ambayo nitaitumiaa kama replacement.
Je, inawezekana kuchukua peaa zangu bila kupitia polisi kutafta loss report maana kuna...
Ebhana eeh nimekaa hapaaa kitaaa nimepata msaada wa kupelekwa shule nikasome short course ya Tour guide japo hiko chuo kinatoa piaaaa issue za hotel management na mambo mengine nilichokipendea chuo kimetangaza kinataftia vijana AJIRA kabisaa baada ya kumaliza nimeona hii ndio fursa nzuri kwangu...
Ebhana eeh nimekaa hapaaa kitaaa nimepata msaada wa kupelekwa shule nikasome short course ya Tour guide japo hiko chuo kinatoa piaaaa issue za hotel management na mambo mengine nilichokipendea chuo kimetangaza kinataftia vijana AJIRA kabisaa baada ya kumaliza nimeona hii ndio fursa nzuri kwangu...
Mambo ya dini yana maswali mengi ambayo hayana majibu kwanza tuweke pembeni bible na quran haya maandishi yamegunduliwa mwaka gan.!? Na hizi biblia na quranzimeandikwalin jama ziliandikwa toka zaman huko zaman waliandika waap tunaomba kujuaa
Ukiachilia mbali maajabu hayo sisemi kwasababu ya wivu hapana najaribu kwe na uhalisiaa binafsi najua hata mlango wa daladala kuupiga mpk ufunguke kwa kasiaa sio jambo rahisi lakini sasa utakuaje mlango wa ndege ufunguke na ninavojuaa mimi huenda mlango wa ndege ni imara zaidi kwasababu ndege...
Niliendaga pale kawe watu wanatombana nje njee afu ukiangalia pemben hv kuna kanisa la mwamposa afu pale beach kuna wakina mwamposa jr wanajifunza kuibiaa watu et wanawaombea wanao ogelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.