Kiuhalisia pesa ambayo mofat ameweka hapo ili iweze kurudi na kumpa faida kabla mqbasi hayajachoka ni kudhibiti hizo boda na daladala ila sasa wakibaki peke yao wataanza viburi tena labda wabadilike wasiwe kama zile za kimara
Milioni 200 labda chama cha upinzani ila kwa ccm watu wamefilisika hasa kuna mtia nina kamaliza zaidi ya ml 400 na wajumbe wamemla kichwa miaka hii siasa imekuwa ngumu haswa maana wafanyabiasha wakubwa wanakimbilia huko kwaajili ya kujilinda na madili yao hivyo wanamwaga pesa balaa
Ila wabongo sijui ni ushamba au ni kitu gani kinachotusumbua binafsi siwezi kuendesha gari nikapakia mtoto siti ya mbele kabisa na akikaa siti ya nyuma lazima afunge mkanda na nimarufuku kurukaruka au kucheza nikiwa naendesha gari na kingine mtoto chini ya miaka mitano lazima milango niweke...
Tuache kutetea umasikini kama ni sifa vile kwani hao watoto wake walishindwa hata kuiboredha hiyo nyumba ikawa ya kisasa kama mzee aligoma kuhama hapo?au wangewanunua baadhi ya majirani wakaongeza ukubwa wa eneo wakapatengeneza pakawa pa kisasa zaidi kwaiyo mzee angekataa!?hakuna binadamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.