watu wanaudhiwa na mfumo wa utawala wa viongo dharimu wa serekali tawala,ata mimi nachukia.kwa hasira zetu ndo tunatusi,lait wangekua kalibu ni mangumi tu.
Wakuu wa mikoa na wilaya wasiwepo,Jaji achaguliwe na Wananchi,Rais ashitakiwe ata akiwa madarakani,Wabunge wa kuteuliwa wasiwepo,Mawazili wachaguliwe nasio kuteuliwa.
Hawa wakuu wa mikoa na wilaya wasiwepo,na jaji angechaguliwa na wananchi nasio raisi,na wabunge wa kuteuliwa wasiwepo,Rais ashitakiwe ata akiwa madalakani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.