Recent content by Blackynad

  1. Blackynad

    Kipi hautaweza kufanya katika ulimwengu wa mapenzi?

    Kufanya mapenzi kinyume na maumbile kamwe sifanyi
  2. Blackynad

    Umejipangaje usipoolewa?

    "marriage is not for everyone".. kama sikuandikiwa siwez force kwan wapo weng ndoa zao ndo zinawaua.
  3. Blackynad

    Naomba kujuzwa dawa ya michirizi

    Kaka zile sio za kutoa makovu tu !?
  4. Blackynad

    Naomba kujuzwa dawa ya michirizi

    Sawa Asante ntalifanyia kazi
  5. Blackynad

    Naomba kujuzwa dawa ya michirizi

    We ni mganga kwa hyo!? Hzo dawa zako zinatibu majini tu na sio michiriz
  6. Blackynad

    Naomba kujuzwa dawa ya michirizi

    Siwez kupost picha mm bint wa kiislam kama kuacha tu unywele nje siwez vipi nije nikuoneshe sehem za ndani
  7. Blackynad

    Naomba kujuzwa dawa ya michirizi

    Mbona unauliza hadi huko!? [emoji15]
  8. Blackynad

    Naomba kujuzwa dawa ya michirizi

    Me wa kike kwan dawa si unaweza nitajia hata hapa kaka
  9. Blackynad

    Naomba kujuzwa dawa ya michirizi

    Nyuma ya mapaja na kiunoni
Back
Top Bottom