matunduizi Hivi hujawaza ni kwa kiasi gani pia wanaouza katika ofisi mbalimbali za biashara
wametulia lakini chunguza ni kwa kiasi gani wako flexible kuliko hata hawa bodaboda.
Bwana Denis
Sio kwamba ninakuoinga iala nadharia yako naona imejikita sana katika masuala ya maandiko
katika maandiko tunasoma katika mwanzo kuwa Mungu alipoumbna ulllimwengu akamumba kwanza mwanadamu ambaye alimuumba kwa sura na mfano wake (Mwanzo 1) ndipo akaumba wanyama wengine tena makundi...
daaaaaah
ebana somo ni tam mnoooo kwakwel tumetoka mbali mno kumbe enzi hizo fedha zetu zilikuwa na thaman sana wandugu
najiulza sana kwann mpaka leo bado tuko hapa??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.