Kila ofisi, idara au taasisi.... huheshimika au kudharaulika kwa matendo yake....hivyo sifa huja kulingana na inachozalisha....hakuna haja ya kulazimisha heshima kama ofisi husika haizalishi heshima husika.
Chunguza ofisi unayoitaja na watu waliohudumu katika ofisi hiyo kwa nyakati tofauti...
Mtu akiwa mjinga atakuwa mjinga maisha yote hata akielimishwa ataendelea kuwa mjinga, same to mwaminifu, mkorofi, mshenzi, mtakatifu n.k. si ndio unamanisha hivyo....kwamba binadam ni static habadiliki....sifungamani na chama chochote lakini wengi wa mashabiki na wafuasi wa vyama vyote vya...
Siku watanzania tukiacha kuzungusha lile koroboi....akili zitarudi....lakini nje ya hapo huruma yake Mungu mwenyewe aingilie kati ....! Na kama watanzania tunaoamini nguvu ya Mungu na uweza wake au wale wanaoamini kuwa kuna nguvu zaidi ya tuyaonayo ....tunatakiwa tusimame kuondoa mkataba na...
Fuatilia kwanza ni vumbuzi ngapi za hapa hapa kwenu zimeuwawa na mawazo mgando badala ya kuziboresha halafu njoo mtetee huyo serikali,
Wabunifu ( individual) kufa masikini sio hoja ila ubunifu wao umeleta mabadiliko chanya kwenye mataifa yao na kuendeleza mataifa yao....sio lazima wote tuwe...
Sababu za kipumbavu hizi..... Vyote hivyo unavyovisema hawajashushiwa kama muujiza....waliumiza vichwa...kupasuka na kutatua matatizo yao....wangekaa kisubiri wawe navyo kama tunavyoamini kuwa hatuna....halafu tumekaa na kusema hatuna....nani atakuletea !
Sisi ni wavivu na tunataka...
Japo sifungamani na chama chochote...lakini kwa hawa ndugu zetu Chadema kwa sasa kila kitu kinaeleweka ....inaeleweka kuwa Mbowe na kundi lake kwa ujumla agenda ilikuwa ni ipi! Kiufupi kila kitu ni maigizo hakukuwahi kuwa na upinzani nchi hii ni viini macho, tangu enzi ilipoanza ya vyama vingi...
Tatizo tukifika kipindi hiki tunawaona waliopo nje ya kipindi kama hawajui au wanakosea na kuamini kama kipindi hiki kitadumu milele.....na hatuhangaiki kuweka sawa ile miaka saba ya njaa....tunajua shibe ipo muda wote.....""hivi unafahamu kuwa saa saba mchana kwa mtu "japo hayupo" ambaye...
Si hitaji kuambiwa na yeyote....maana nchi haina umiliki wa mtu mmoja hata aje aniambie....na hiyo itaendelea kuwepo na wananchi wake....na kwa kila kiungo nilichojaliwa kuweza kuyatambua na kuyatawala mazingira yangu naona kwamba usalama ni mdogo na unazidi kuwa mdogo.
Hivyo vyombo unavyovisema havileti hiyo amani ....amani ipo mioyoni mwa watanzania na amini kuwa kadri wanavyozidi kutibuliwa gauge inazidi kushuka....kuna mahali watafika wataamua kuwa imetosha....hapo ndio mtajua hivyo vyombo sio kitu....risasi mabomu na kila mnachokiwaza kama kinga hakitakuwa...
Tatizo sio cheti au hizo tunuku za Bachelor, Masters, CPA au PHD.... tatizo ni kuziamini na kuziona kama mali wakati hata zilikotoka hakuna hadhi hiyo....kiufupi ni majina makubwa na makaratasi yaliyopewa thamani machoni pa wajinga. Badala watafute maarifa wanatafuta kuonekana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.