Recent content by Blackafrica

  1. B

    Magufuli ni kweli amekosa watetezi?

    Hata siku moja huwezi kupendwa na watu wote, hii ndio hulka ya wanadamu, inasikitisha sana kuona sasa Magufuli amekosa kabisa watetezi, wale waliokuwa hawampendi na kumchukia, kwa sasa wanajiachia watakavyo kumsema vibaya watakavyo hata mazuri aliyofanya hayaonekani bali ni kumkebehi kumtukana...
  2. B

    Urusi imeingia kwenye 18 ya Marekani, dunia ijiandae kuona majimbo mapya ya Marekani katika ardhi ya Urusi

    Tuliza mshono ww na Ki history chako cha O level na high level Putin na Russia yake ni namba nyingine, USA na Russia wanajuana hao
  3. B

    Mke wa rafiki yangu kapoteza uwezo wa kushika ujauzito

    Aufanyie kazi ushauri huu ni mzuri
  4. B

    Macron akiri demokrasia yaelekea kushindwa duniani.

    Uko sahihi kabisa mkuu aongeze nyama za kutosha
  5. B

    Donald Trump na familia yake washtakiwa kwa kudanganya kuhusu kodi na mikopo

    Acha ujinga ww unawapa tu sifa za kijinga, walikuwa wap kumfuatilia miaka yote hiyo, kwann kipindi hiki ndio wanamuandama na kesi kibao, kwa sababu hawataki agombee urais, huo si ndio uswahilini wenyewe huo afu unataka kutuaminisha hapa Marekani ni serikali smart sana kumbe upupu tu
  6. B

    CHADEMA ni Watani zangu Kisiasa na Marafiki, ila mnatuangusha mno Watanzania hadi kuhisi Mmeshanunuliwa kwa Bei rahisi

    Wapinzani wa ukweli watatoka humo humo CCM ni suala la mda tu Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
  7. B

    Kuna Watu ni wabinafsi, ila Mchepuko wangu kazidi. Nimemnyoosha

    Maelezo mengi afu upupu tu, ndugu nafikilia umerogwa ila hujijui, kama hujarogwa basi ndio wale wajinga fulani tu waliobahatika kuwa na hela ya mboga Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
  8. B

    Urusi nafaka kwenda nchi masikini, kutoa mbolea ya bure

    Umeoma mkuu kidume kasema Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
  9. B

    Jaji Othman Chande: Hakuna sababu ya Matokeo ya Urais kutopingwa Mahakamani

    Jaji upo sahihi kabisa mahakama ndio chombo cha mwisho cha kutoa haki, sasa kwann ifungiwe baadhi ya mambo katika kutoa haki, hii katiba ni ya hovyo sana inajipinga yenyewe, dawa ni kubadili katiba au kuifanyia marekebisho makubwa ili iwe katika halali Sent from my Infinix X655C using...
  10. B

    Rais Putin: Hatujapoteza chochote Ukraine zaidi tumekuwa imara

    Mashoga wenzako wa west Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
  11. B

    Viwanda vingi vya Netherlands vyafungwa kutokana na kutohimili bei ya nishati ya Urusi

    We fala kweli ninyi ndio ma gay wenyewe hujitambui unadhni misaada unapewa bure hiyo there is no free lunch bob Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
  12. B

    Uhusiano wa Iran na Tanzania kisasa

    Iran sio nchi ya kupuuzwa hata kidogo, tuna kila sababu ya kuwa na mashirikiano nayo makubwa ya diplomasia ya uchumi Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
  13. B

    Kipi kitatokea endapo nitamuoa mpenzi wa rafiki yangu?

    Usikilize moyo wako unataka nini kisha tekeleza takwa la moyo wako. Angalizo chukua maamuzi sahihi Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom