Hata siku moja huwezi kupendwa na watu wote, hii ndio hulka ya wanadamu, inasikitisha sana kuona sasa Magufuli amekosa kabisa watetezi, wale waliokuwa hawampendi na kumchukia, kwa sasa wanajiachia watakavyo kumsema vibaya watakavyo hata mazuri aliyofanya hayaonekani bali ni kumkebehi kumtukana...
Acha ujinga ww unawapa tu sifa za kijinga, walikuwa wap kumfuatilia miaka yote hiyo, kwann kipindi hiki ndio wanamuandama na kesi kibao, kwa sababu hawataki agombee urais, huo si ndio uswahilini wenyewe huo afu unataka kutuaminisha hapa Marekani ni serikali smart sana kumbe upupu tu
Maelezo mengi afu upupu tu, ndugu nafikilia umerogwa ila hujijui, kama hujarogwa basi ndio wale wajinga fulani tu waliobahatika kuwa na hela ya mboga
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Jaji upo sahihi kabisa mahakama ndio chombo cha mwisho cha kutoa haki, sasa kwann ifungiwe baadhi ya mambo katika kutoa haki, hii katiba ni ya hovyo sana inajipinga yenyewe, dawa ni kubadili katiba au kuifanyia marekebisho makubwa ili iwe katika halali
Sent from my Infinix X655C using...
We fala kweli ninyi ndio ma gay wenyewe hujitambui unadhni misaada unapewa bure hiyo there is no free lunch bob
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Iran sio nchi ya kupuuzwa hata kidogo, tuna kila sababu ya kuwa na mashirikiano nayo makubwa ya diplomasia ya uchumi
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Usikilize moyo wako unataka nini kisha tekeleza takwa la moyo wako. Angalizo chukua maamuzi sahihi
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.