Lowasa ananyota ya upendo na mkasi, hao wanaompenda ndio watamkata kwenye sanduku la kura kwa masilah mapana ya taifa, mtu haaminiki, hajawah kukemea rushwa,mzembe amelitia taifa hasara kwa kisingzio lilikuwa agizo kutoka juu, huyu atakatwa tena iliakamsimlie na Gwajima kuwa alimshawish vibaya.
hakusema sumaye mpumbavu, alisema hv hao wanaosema wanataka kuikomboa hii nchi ni wapumbavu, dunia nzima inajua hii nchi ilishakombolewa na vyama viwili vya Tanu na Asp.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.