Umeongea kwa uchungu sana, Hii nchi inamuitaji Josephat Gwajima tu kuwa Rais. Hakuna mwingine Mwenye uwezo wa kushindana na hiyo mifumo isipokuwa Ask. Gwajima.
1) Mwaka 1962- Mwalimu Julius Nyerere
- Mwalimu Alijiuzulu nafasi yake ya "Waziri mkuu wa Tanganyika" miezi michache tu baada ya uhuru. Alimwachia kijiti Rashid Mfaume Kawawa na kurudi vijijini kujenga na kuimarisha chama cha TANU.
Kabla ya muungano
2) Mwaka 1977- Ali Hassan Mwinyi
-...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.