Recent content by Black cap

  1. Black cap

    JamiiForums Tanzania Dar: Marekani Kutoa $3.14 billion kusaidia sekta ya Afya

    Uongo
  2. Black cap

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Alhaji Aliko Dangote, Ikulu na timu yake Ikulu ya Dar, leo Juni 28, 2026

    Jani bdo bichi baada ya muda litanyauka
  3. Black cap

    JamiiForums Tanzania DOKEZO DAR: Studio Furaha TV zinazomilikiwa na Mpwa wa Hayati Magufuli zavamiwa na Mabaunsa na watu wenye silaha

    Kama imeandikwa na wao, je wanastahili jambo walilotendewa?
  4. Black cap

    JamiiForums Tanzania DOKEZO DAR: Studio Furaha TV zinazomilikiwa na Mpwa wa Hayati Magufuli zavamiwa na Mabaunsa na watu wenye silaha

    Lazima nimiliki silaa, ukija kwangu bila maelezo yakueleweka. Kichwa chako halali yangu
  5. Black cap

    JamiiForums Tanzania Heche mjumbe muaminifu wa Lissu, amuita mpakwa mafuta wa Bwana anayengojewa kuwaongoza Watanzania kuelekea Mapinduzi ya Kiuchumi

    Mimi Imani juu ya heche imepotea kabisa. Tangu nimuone amekaa kwenye Yale maviti vigoda na kupewa mikuki ili awe chief nikasema hili ni tatizo tayari.. Anayetaabisha nchi chief hangaya na yeye Kawa chief Tena??? Hii nchi inahitaji viongozi wacha Mungu wasiojihusisha na uchawi, uganga na...
  6. Black cap

    JamiiForums Tanzania CCM sitawastua tena, atakayewaokoa dhidi ya ICC ni TUNDU LISSU , Muachieni, ridhianeni naye, leteni KATIBA Mpya, Uchaguzi urudiwe upya

    Kosa lao kubwa ni kufunga lile kanisa, kubomoa kanisa na kuuwa watanzania. Mungu anaipiga ccm yeye mwenyewe. Yaan kwa kifupi vita ya ccm inatokana na Mungu kuwakataa
  7. Black cap

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    Mafwele hasafishiki
  8. Black cap

    JamiiForums Tanzania Wanaoihujumu CHADEMA ni wale wa upande wa Lema, Sugu na Heche au ni wale wa upande wa Mnyika, Amani na Boniyai?

    Kwani kuridhiana lazima Chadema si chauma, act, tlp wapo? Bila Chadema, ccm hampo
  9. Black cap

    JamiiForums Tanzania INACHEKESHA SANA

    Acha UJINGA kama kweli ni drama za Chadema mbona police ndio waliofungua pingu? Mungu akitaka kumuokoa mtu ana njia nyingi. Kupitia hili tukio ndio sababu ya mafwele kufungiwa kwenda USA. Japo wametoa sababu nyingine nyingine. Na huu utawala unazidi kupoteza, Tena ndio sababu ya vurugu na...
  10. Black cap

    JamiiForums Tanzania Rio Ferdinand: Mimi si Mwanasiasa na sijaja Tanzania kuzungumzia siasa, sipangiwi cha kufanya

    Makonda kafanikiwa kutengeneza tension
  11. Black cap

    JamiiForums Tanzania Mwananchi: Hatutaki fidia, Tunataka Serikali ya Samia iondoke madarakani, kama wanaweza waturudishie roho za watoto wetu

    Kiti hakikuwa chake ameng'ang'ania na ndio hasara hizo zote ameleta. Mabango kedekede, mara mapikipiki na helicopter na mabango. Misaada imekatika, huwezi kufidia garama na bado ushuzi unanuka Dunia nzima
  12. Black cap

    JamiiForums Tanzania Kichwa cha Marehemu James Temba, aliyeokotwa Mto Msimbazi chapatikana Kitunda, Kibeberu. Polisi Wathibitisha

    Kwani ile ya magari ya Abdul wa Samia ilichomwa lini? Au alikuwa amejiunga mafia gangs
Back
Top Bottom