Mimi sijaelewa, yaani case ya Mali kivipi? Kuna watu wanawadai Chadema au vipi?
Au Kuna watu wanataka wapewe urithi wao mapema?
Na kama ni hivyo si muwaulize mnataka Nini na Nini kama kipo ndani ya uwezo wenu wapeni tu, Mali inatafutwa. Kuliko kuwa na mlolongo wa case nyingi mahakamani. Kumbuka...
Ndio, aliumbwa kumuhudumia mkewe na kutunza bustani ya Mungu. Eva alikuwa msaiidiz tu.
Na kumbuka Kila kitu ndani ya bustani kulikuwa chini ya mamlaka ya Adam na yeye ndio aliyevipa majina. Hata nyoka alipewa jina na Adam
Kinachokuponza ni tafsiri uliyoitumia ya picha. Mimi natafsiri " mwanaume ukimuacha mke alete chakula nyumbani na wewe mume upo lazima utaangamia, Eva alipomletea mume wake tunda ndipo matatizo yalipoanza"
Wanaume jufunzeni kuhudumia familia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.