Recent content by Black cap

  1. Black cap

    JamiiForums Tanzania Mwananchi: Hatutaki fidia, Tunataka Serikali ya Samia iondoke madarakani, kama wanaweza waturudishie roho za watoto wetu

    Kiti hakikuwa chake ameng'ang'ania na ndio hasara hizo zote ameleta. Mabango kedekede, mara mapikipiki na helicopter na mabango. Misaada imekatika, huwezi kufidia garama na bado ushuzi unanuka Dunia nzima
  2. Black cap

    JamiiForums Tanzania Kichwa cha Marehemu James Temba, aliyeokotwa Mto Msimbazi chapatikana Kitunda, Kibeberu. Polisi Wathibitisha

    Kwani ile ya magari ya Abdul wa Samia ilichomwa lini? Au alikuwa amejiunga mafia gangs
  3. Black cap

    JamiiForums Tanzania Bunge lifanye jambo pale kwenye katiba ili Mama atuongoze angalau kwa miaka mingine 7 baada ya 2030, ndo hitaji la wananchi wengi kwa sasa

    Naona mkiona watu wamenyamaza kimya, mnawachokoza. Hiyo 2030 una uhakika atafika?
  4. Black cap

    JamiiForums Tanzania Mwili wa James Temba, aliyepotea umeokotwa mto Msimbazi ukiwa hauna kichwa

    Kwani ile Yard ya magari ilichomwa lini? Tuanze kukuunganisha dots
  5. Black cap

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya nauli Pangani; Baadhi ya magari yanayotoza nauli Tsh. 5000 badala ya Tsh 4000

    Kulingana na viwango vipya vya nauli vilivyotangazwa na LATRA, nauli ya kutoka Pangani kwenda Tanga iliipaswa kuwa 3,377/= au 4000/= kwa barabara ya vumbi. Sababu umbali wa kutoka Pangani kwenda Tanga ni 50.7Km na barabara ni nusu lami, nusu vumbi. Lakini kumekuwa na magari yanayotoza nauli...
  6. Black cap

    JamiiForums Tanzania Watanzania Wana shida gani mbona hawalipi kisasi( Retaliation)Kwa walioua ndugu zao?

    S. a unaona watz wanapigwa hata hawajitetei. Mrusi kapigwa kasambaza ngumi mpaka vijana wa s.a wakaomba poo
  7. Black cap

    JamiiForums Tanzania Unaweza usinielewe, lakini Ruge wa Clouds na Yusuph Manji, vifo vyao vina mkono wa mtu

    Makonda pia alishawahi kumlipa mdada aseme amezaa Askofu ili kumchafua askofu. Matokeo yake mdada wa watu Kawa kichaa, makonda yupo tu anazungusha kalio. Nilishangaa sana kanisa la safina radio kule Arusha kumkaribisha akemee mapepo.
  8. Black cap

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyokosa mkopo wa Tsh. Bilioni 3 benki na niliyojifunza

    Sio mbaya umejaribu, ila kama una nia jaribu bank nyingine yumkini vigezo vikapungua. Ila biashara ya mafuta inalipa sana vijijini. Maana hakuna petrol station. Mtaji wa 500M vijijini unaanza petrol station Yako safi kabisa
  9. Black cap

    JamiiForums Tanzania Are you living or Just surviving?

    Leo ndio nimejua "surviving" inaandikwa surviving
  10. Black cap

    JamiiForums Tanzania DC Kibaha aachana na mkewe, kisa Matokeo ya DNA

    Hii habari mbona ni ya muda mnaipaje kick saivi
Back
Top Bottom