Recent content by Black cap

  1. Black cap

    Israel inakaribia kuanguka

    Leo zimekwenda ndege vita 80 upande wa iran
  2. Black cap

    Rais Samia: Vita vikiendelea Uchumi wa Dunia utayumba

    Kuiba tu na kujenga maghorofa, kuweka oil reserve anhha!
  3. Black cap

    Addo November: Irene Robert amekutwa Hotelini akiwa mtupu

    Ni kifo Cha kunyongwa, haha kubwa hutoka
  4. Black cap

    Dodoma: Mahakama ya Rufaa kusikiliza maombi ya CHADEMA kutaka kesi ya mgawanyo wa mali kufanyiwa marejeo

    Mimi sijaelewa, yaani case ya Mali kivipi? Kuna watu wanawadai Chadema au vipi? Au Kuna watu wanataka wapewe urithi wao mapema? Na kama ni hivyo si muwaulize mnataka Nini na Nini kama kipo ndani ya uwezo wenu wapeni tu, Mali inatafutwa. Kuliko kuwa na mlolongo wa case nyingi mahakamani. Kumbuka...
  5. Black cap

    Wakati nasoma Biblia mwanzo sura ya 3 - Kwahiyo Hawa mke wa Adam alimuona nyoka na hakukimbia? Wakapiga na stori? Bro ogopa wanawake

    Ndio, aliumbwa kumuhudumia mkewe na kutunza bustani ya Mungu. Eva alikuwa msaiidiz tu. Na kumbuka Kila kitu ndani ya bustani kulikuwa chini ya mamlaka ya Adam na yeye ndio aliyevipa majina. Hata nyoka alipewa jina na Adam
  6. Black cap

    Wakati nasoma Biblia mwanzo sura ya 3 - Kwahiyo Hawa mke wa Adam alimuona nyoka na hakukimbia? Wakapiga na stori? Bro ogopa wanawake

    Kinachokuponza ni tafsiri uliyoitumia ya picha. Mimi natafsiri " mwanaume ukimuacha mke alete chakula nyumbani na wewe mume upo lazima utaangamia, Eva alipomletea mume wake tunda ndipo matatizo yalipoanza" Wanaume jufunzeni kuhudumia familia
  7. Black cap

    Lissu awasilisha maombi kwa hati ya dharura Mahakama ya Rufani

    Kama wewe ni mtanzania, embu eleza alivyokukosea ili aombe msamaha
  8. Black cap

    Lissu awasilisha maombi kwa hati ya dharura Mahakama ya Rufani

    Siku moja ma wewe utakwenda gerezani, and you will get hurt the same way
Back
Top Bottom