Kiti hakikuwa chake ameng'ang'ania na ndio hasara hizo zote ameleta. Mabango kedekede, mara mapikipiki na helicopter na mabango. Misaada imekatika, huwezi kufidia garama na bado ushuzi unanuka Dunia nzima
Kulingana na viwango vipya vya nauli vilivyotangazwa na LATRA, nauli ya kutoka Pangani kwenda Tanga iliipaswa kuwa 3,377/= au 4000/= kwa barabara ya vumbi. Sababu umbali wa kutoka Pangani kwenda Tanga ni 50.7Km na barabara ni nusu lami, nusu vumbi.
Lakini kumekuwa na magari yanayotoza nauli...
Makonda pia alishawahi kumlipa mdada aseme amezaa Askofu ili kumchafua askofu. Matokeo yake mdada wa watu Kawa kichaa, makonda yupo tu anazungusha kalio.
Nilishangaa sana kanisa la safina radio kule Arusha kumkaribisha akemee mapepo.
Sio mbaya umejaribu, ila kama una nia jaribu bank nyingine yumkini vigezo vikapungua. Ila biashara ya mafuta inalipa sana vijijini. Maana hakuna petrol station. Mtaji wa 500M vijijini unaanza petrol station Yako safi kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.