Mimi Imani juu ya heche imepotea kabisa. Tangu nimuone amekaa kwenye Yale maviti vigoda na kupewa mikuki ili awe chief nikasema hili ni tatizo tayari..
Anayetaabisha nchi chief hangaya na yeye Kawa chief Tena???
Hii nchi inahitaji viongozi wacha Mungu wasiojihusisha na uchawi, uganga na...
Kosa lao kubwa ni kufunga lile kanisa, kubomoa kanisa na kuuwa watanzania. Mungu anaipiga ccm yeye mwenyewe. Yaan kwa kifupi vita ya ccm inatokana na Mungu kuwakataa
Acha UJINGA kama kweli ni drama za Chadema mbona police ndio waliofungua pingu? Mungu akitaka kumuokoa mtu ana njia nyingi. Kupitia hili tukio ndio sababu ya mafwele kufungiwa kwenda USA. Japo wametoa sababu nyingine nyingine.
Na huu utawala unazidi kupoteza, Tena ndio sababu ya vurugu na...
Kiti hakikuwa chake ameng'ang'ania na ndio hasara hizo zote ameleta. Mabango kedekede, mara mapikipiki na helicopter na mabango. Misaada imekatika, huwezi kufidia garama na bado ushuzi unanuka Dunia nzima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.