Recent content by Black cap

  1. Black cap

    JamiiForums Tanzania Baada ya CDF IGP DCI Kuwasilisha ushahidi wao mahakamani Tundu Lisu akate rufaa ya kuomba PM VP na Mh Rais Kuja mahakamani kosa la uhaini ni zito

    Utamuhukumu vipi mtu na umemkatalia mashahidi wake? Haki ipo wapi?
  2. Black cap

    JamiiForums Tanzania Tetesi: WanaCCM amkeni tupambane na state capture ya Wicknell Chivayo na Genge lake kwani ndio wanayeongoza Tanzania kwa sasa, Raisi ni Kivuli tu.

    Umeongea kwa uchungu sana, Hii nchi inamuitaji Josephat Gwajima tu kuwa Rais. Hakuna mwingine Mwenye uwezo wa kushindana na hiyo mifumo isipokuwa Ask. Gwajima.
  3. Black cap

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Dini -TEC,BAKWATA,CCT chini ya mwamvuli wa Interfaith Committee wana nafasi kubwa ya kuchangia kupatikana Maridhiano na Mufaka wa Kitaifa

    Kwani muafaka haujapatikana??? Mbona kama vile mnasonga mbele ma issue zenu na sauti za watanzania ni kama kelele masikioni mwenu
  4. Black cap

    JamiiForums Tanzania Lissu: Msije gerezani usiku kunitembelea njooni mahakamani

    Alafu atumie makwapa kuongea?
  5. Black cap

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Kamati kuu chadema yaahirisha kikao baada ya katibu mkuu kujiuzulu

    Wee mbwea. Usicheze na hisia zangu
  6. Black cap

    JamiiForums Tanzania Je Japan inajua alipo Rachel Dangwa?

    Mbona juzi tu nilimuona fb, anazungumzia ya Nchimbi?
  7. Black cap

    JamiiForums Tanzania Sheba Igangu anataka Balozi Mkubwa aliwe kichwa kama yule mdogo, wanamlazimisha atume ujumbe kule kuwa aliwaingiza chaka!

    Askofu hakuwapigia ila wao ndio waliompigia. Sasa wamkamate ana kosa gani?
  8. Black cap

    JamiiForums Tanzania Ndejembi apitishwa na Bunge kuwa Makamu wa Rais

    Picha yake
  9. Black cap

    JamiiForums Tanzania Manara: Katiba ni ya Watanzania Si ya Kina Heche

    HECHE NI MTANZANIA AU SIO MTANZANIA?
  10. Black cap

    JamiiForums Tanzania Tuweke historia sawa- Viongozi waliowahi kujiuzulu Tanzania

    1) Mwaka 1962- Mwalimu Julius Nyerere - Mwalimu Alijiuzulu nafasi yake ya "Waziri mkuu wa Tanganyika" miezi michache tu baada ya uhuru. Alimwachia kijiti Rashid Mfaume Kawawa na kurudi vijijini kujenga na kuimarisha chama cha TANU. Kabla ya muungano 2) Mwaka 1977- Ali Hassan Mwinyi -...
  11. Black cap

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Mimi pia ni mtoto wa Mungu Yehova
  12. Black cap

    JamiiForums Tanzania Rais Dkt. Samia anafungua Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa AFRICA50 na Jukwaa la Miundombinu kwa Afrika

    Anaelewa kweli hata hisa ni Nini?
  13. Black cap

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Hekima iliyotumika kufuta kesi ya Mbowe, itumike kwa Lissu

    Mnyika kwani lissu alikwambia anaumia yeye kuwa jela??? Au umeshanunuliwa
Back
Top Bottom